stritglow
JF-Expert Member
- Apr 7, 2018
- 622
- 1,759
kwasababu hupigi story. ukiwa kimya lazima usingizi ukupitie tu.Lindo limenishinda
kwasababu hupigi story. ukiwa kimya lazima usingizi ukupitie tu.Lindo limenishinda
Mwanamke wa dasilamu huyo hajazoea mambo ya ma kabaliHaswaaa,tena wakati huu ndio muafaka kabisa.
Anatakiwa ajaribu.Mwanamke wa dasilamu huyo hajazoea mambo ya ma kabali
mambo ya kuwa caught off guard sio mazuri kabisa.Haha haha. ....
Siku nyingine mkuu.Aisee mkuu ,tililika kidogo kama hutojali nini kilikukuta
Hii lugha yako unajua utapewa kifungo humu. ...uliziamambo ya kuwa caught off guard sio mazuri kabisa.
Siuwache tu kuwasikiza.Tukishapatana = Tukishaonana ?
Hili neno nawasikia sana wakenya,huwa miyeyusho sana.
Wanabananga sana Kiswahili hawa watu.
Daah ngumu,sema ninachofanya ni kuwavumilia.Siuwache tu kuwasikiza.
Yakikushinda fanya usemezane nao. ...wajifunze Kwako hiyo swahili unayopendaDaah ngumu,sema ninachofanya ni kuwavumilia.
Itabidi iwe hivyo,humu naona kama vile tumebaki mimi na wewe au naona vibaya ?Yakikushinda fanya usemezane nao. ...wajifunze Kwako hiyo swahili unayopenda
dah, mazoea.Hii lugha yako unajua utapewa kifungo humu. ...ulizia
Tuko mingi tuItabidi iwe hivyo,humu naona kama vile tumebaki mimi na wewe au naona vibaya ?
Hatari,nimemuona mmoja. Tuko wengi kumbe.Tuko mingi tu
@BbadeTuko mingi tu
Nilijua tuko peke yetu nizime TAA !Tuko mingi tu
Ndio hivyo. ....nimejifunza kuongea lugha mama pia. ...nilikuwa najiendea nikawa natengwa. ..nikajua nakosea.dah, mazoea.
kumbe humu badala ya kutoa/peana vibao vya swahili speaker, mna vya english speaker
Ila inabidi waiingize hii lugha katika lugha za taifa za humu
Zima taa ukiwasha ukute hayupo umewekewa redio na falash yenye sauti yake hapo hahahaaNilijua tuko peke yetu nizime TAA !
Siwezi lala gizaNilijua tuko peke yetu nizime TAA !
Niaje mkuu@Bbade