Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,429
- 95,935
Ndio muipange hy mikakatiDaah,story tena na mtoto na wa kike ? Hakuna story hapo,hapo ni mikakati tu.
Ndio muipange hy mikakatiDaah,story tena na mtoto na wa kike ? Hakuna story hapo,hapo ni mikakati tu.
Mkuu sidhani ka kuna kujizuia. Imagie uko unaoga afu unakumbuka aliyoyatenda,upo unakula bado unakumbuka tuHaupukiki lakini lazima ujue kujizuia ili uishi miaka mingi ya amani
Hiya nyingine ambayo haifanani na hii nayotumia hapahaya kuna lugha mbili hapo... ipi hujaielewa
Haina sema ananikwepa kwepa mwenyewe !Ndio muipange hy mikakati
Sawa nakuacha rasmi na vijana ,mpange mikakati km walemavyoTupo wote
Hapo hata sijakuelewa,what do u mean ?Achia kifungo basi kwa mda
Tuna tofautianaUkisikia njaa kabla ya kupata kuvuna mapya c utayatafuta yale yalooza ukatupa??[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Duuuh,shikamoo !Tupo wote
MwakaniNjoo tu,sukuma pako wazi nakusubiri
Jiongeze na ww,natumai vijana hamtoniangusha kaka yenu ktk hili ,muhimu Mikakati iende sawa na mpira pasi ,tuonane baadae kdgHapo hata sijakuelewa,what do u mean ?
Sifa ya simba ni kuwinda na kukamata ikitokea fisi wakampokonya alichokamata hapigani na fisi anaonyesha uhodari wake kwa kwenda kuwinda na kukamata kitoweo kingine hivyo mwanaume tumpe mfano wa simba mwanamke akichukuliwa nafuta mwingine chukua mambo yaishe labda kama umetafutiwa itakubidi uwe mkali maana hujui pa kupatia mwingineMkuu sidhani ka kuna kujizuia. Imagie uko unaoga afu unakumbuka aliyoyatenda,upo unakula bado unakumbuka tu
Unaniharibia ID yanguMimi mwenyewe sio mwanafunzi. Ila mimi sio mwalimu nina weza kufundisha ?
Usiwe mchoyo kiasi hicho b-bade !
leta vitendea kazi, nikusaidie kukueleweshaHiya nyingine ambayo haifanani na hii nayotumia hapa
Ha ha sawa[emoji23] ila yule bado mtoto plz usimuaribuHuu utakuwa mjadala mwingine ambao hapa si mahala pake.
Namsubiri bi-bade anifubdishe mambo ya kikubwa.
Kuna tofauti gani kati ya mwanamke na mwanamke, au mwanaume na mwanaume?Tuna tofautiana
Ukija elewa nitakukumbushaHapo hata sijakuelewa,what do u mean ?
Kwanini tena au kivipi ? Niambie nijirekebishe sipendi nikiharibie bibie.Unaniharibia ID yangu
Mkuu heshima kwao, umeenda age kidogo#3 hapo ndio kwangu
Nani nisimuharibu ?Ha ha sawa[emoji23] ila yule bado mtoto plz usimuaribu