We huoniWakina nani wajiachie ?
Mkuu karibu na wewe uchangie mada usiogope ,hatuna jambo serious saanaNgoja nikae chimbo niwahakikishie ulinzi ,mjiachie vzr msihofu
Kumbe kuna angalau mara moja kwa mwakaUnaongelea mchepuko/kuchepuka kupi?
Ule wakuwa na mtu mwingine wakudumu nje ya mpenzi wako?
Au ule umetokea umetoka nje ya mahusiano mara moja kwa mwezi au mwaka?
...Lakini nakuonaga kitaa mchana. ...na unanipitaga kama hatujuani. ..sio poa
Sioni vizuriWe huoni
Wapenda kusogezea mizigo wengine. ..wewe una kaa pembeni kabisaIpi hy Mkuu
Nitashindwa kulindaMkuu karibu na wewe uchangie mada usiogope ,hatuna jambo serious saana
Mie na mizigo hapanaWapenda kusogezea mizigo wengine. ..wewe una kaa pembeni kabisa
HahahaSioni vizuri
Unakuta zile mtu mmegombana mkapeana space...mmojawenu akalamba nje. ..Kumbe kuna angalau mara moja kwa mwaka
Na mimi nimejitoa...!Mie na mizigo hapana
Fanya ujazie hizo dash
Namimi naanza kulinda Kimya kimyaNitashindwa kulinda
wanatu-stunt growth ya kiakili, we need new people wa kuchangamana nao. Ina stimulate the brainDaah,wanatufelisha sasa !
Kwa sisi demu akijileta ukakamua inaitwa kwa kitaalamu "orgasm donor" km organ donor ila unadonate orgasm kwa muda ili kumsaidia mdada, inaruhusiwa nadhan kisheria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakuta zile mtu mmegombana mkapeana space...mmojawenu akalamba nje. ..
Au ile imetokea tu demu kajileta ukamshughulikia.
Oohhh nimekupataMie na mizigo hapana
Haswaaaa !wanatu-stunt growth ya kiakili, we need new people wa kuchangamana nao. Ina stimulate the brain