JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kama yameisha waachane tu...wakaanze pengine upya...

Maana mpaka yaishe kuna sehemu mnakosea....
Yah then why not sit and talk, maana nyie women likes to talk, km ulimpendea mwenzio kwa pesa afu ikaisha labda ila km ni swala la kiutendaji si mnazungumza tu kuliko kukipeleka nje
 
Back
Top Bottom