Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Jamano.Utatuhumiwa kwa kusababisha usumbufu kwa walinzi
Basi ngoja nikajilalie zangu
Mie huo nataka kulalaHii picha hii !?
Jamano.Utatuhumiwa kwa kusababisha usumbufu kwa walinzi
Mie huo nataka kulalaHii picha hii !?
Huwezi kuwa wewe huyu !Jamano.
Basi ngoja nikajilalie zangu
Mie huo nataka kulala
Jamano.Utatuhumiwa kwa kusababisha usumbufu kwa walinzi
Mie huyo nataka kulalaHii picha hii !?
Kama hutako basiHuwezi kuwa wewe huyu !
Sitaki kwa sababu kuu mbili. Sababu ya kwanza,sababu hii ya kwanza nitakwambia nikiwa naelezea sababu ya pili.Kama hutako basi
Inashangaza kwakweliKuna watu wanakera sana.
Kama mtu huna cha kuchangia ni heri akae kimya.
Basi tu.
Kila mti ana mihemko yake
Haya naziomba hapa mkuuSitaki kwa sababu kuu mbili. Sababu ya kwanza,sababu hii ya kwanza nitakwambia nikiwa naelezea sababu ya pili.
Kabisa yaaniInashangaza kwakweli
Usiku mwema MadameKabisa yaani
Hapa wachawi wengi. Ila sipendi mno jinsia ya kike iniite "mkuu". Huwa nakemea sana kitendo hiki.Haya naziomba hapa mkuu
Asante.Usiku mwema Madame
Mie mwanaumeHapa wachawi wengi. Ila sipendi mno jinsia ya kike iniite "mkuu". Huwa nakemea sana kitendo hiki.
Ndo hicho mtu chake hataki kwa kanuni za lindo wapaswa kupiga stori tu na hivyo vimwana lakini mwisho wa siku mnakimbia navyo mnaacha lindo wazi nini mnafanya? HaipendeziKaka mkubwa huku kila siku nalisongesha na kimwana mpya... Hatari sana napata uzoefu wa ajabu.
Wanaume tuna lugha zetu bibie.Mie mwanaume
Daah,mtuvumilie hasa mimi. Ila taratibu nitajirekebisha bro !Ndo hicho mtu chake hataki kwa kanuni za lindo wapaswa kupiga stori tu na hivyo vimwana lakini mwisho wa siku mnakimbia navyo mnaacha lindo wazi nini mnafanya? Haipendezi
HahahahahWanaume tuna lugha zetu bibie.
Hivi ushawahi kumwambia mwenzako "Nipishe silioni jua". Yaani akawa anakukinga katika kulitazama jua ?