Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 46,169
- 97,870
Ukammbusha kitu uwelediNiliona kuna mahali ulitaka kuteleza.
Ukammbusha kitu uwelediNiliona kuna mahali ulitaka kuteleza.
kwanini si salama?Rungu hapana, si salama walinzi wa jinsia tofauti kuwa na vifaa hatarishi.
Defao yule wa Lubumbash?Atakuwa Defao
Nimeacha,japokuwa sijawahi kujaribu kumsalandia.
Good morning Tanzania
sawaNimeacha,japokuwa sijawahi kujaribu kumsalandia.
"ushindwe" au "ashindwe". Na kwanini ashindwe ?Na ushindwe
Uchumba ndio huwa siri ila harusi hutangazwa.
Habari yako bibieMorning!
sina ngiri, nilishamtibu kitambo sana huyo mdudu nipo ngangari siku hizi.Huwezi bana,usije kubanwa na ngiri usiku ukatupa lawama mjini,,?
"ushindwe" au "ashindwe". Na kwanini ashindwe ?
Habari yako bibie
nishashindwa tayari mbona muda mrefuNa ushindwe
Ni fresh kama pipi ya mintHabari yangu Nzuri, za kwako?
Good morning MadagascarGood morning Tanzania
Hahaha...niaje Mr. MillerGood morning Madagascar
Sisi huwa hatuna kadi wala kichangishana,sisi tunatangaza ndoa. Maadamu atakuwa nimempata humu jf basi nawajibika kuja kuwaletea mwaliko humu humu ila itakuwa ni kwa majina yetu halisi. Sasa hapo ndipo mtakapo anza kunyoysheana vidole.Usiache basi kuniletea japo kadi ya Mchango kama sio ya Mwaliko
ukielewa uje unieleweshe tafadhali"ushindwe" au "ashindwe". Na kwanini ashindwe ?
Ndio vzr ukiwa na walinzi nguli ,waliobebeaDaah,umefanya poa sana kunikumbusha.