Anaitwa "amu" .Ni nani nikupe ratiba yake?
Anaitwa "amu" .Ni nani nikupe ratiba yake?
Nalunda hizi mali za mtu mkuuUnalinda nini mtaalamu ?
Anaitwa "amu" .
Poa poa,kama akipita mpe salamu zangu sana !Huyo ni wa saa 9 kwenda 10, sasa hivi huwezi kumwona.
Mali zipi hizo ?Nalunda hizi mali za mtu mkuu
Nimekuja tulindeJamani muda wa lindo umefika
Well saidNot having enough sex can put you at risk of anxiety, paranoia and depression.
ukipitapita hovyo unakamatwa kwa kosa la uzururajiHivi huu uzi kumbe sio wa usiku wa manane tu ?
Nilikuwa naheshimu kichwa cha uzi,kumbe ni muda wowote aisee. Nitakuwa napita pita huku.
shimba kuna sehemu nakusubiri umeuchuna je unajua madhara unayonsababishia? faini yake unaweza?Tumeshampata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo boss wangu, umeniita nami nimeitika.Anaitwa "amu" .
Leo vijana wako wanategea sana, imebidi niwahi niokoe jahazi.Huyo ni wa saa 9 kwenda 10, sasa hivi huwezi kumwona.
Nivumilie rafiki. Niko kwenye hekaheka nyingi. Ila mwenyewe utafurahia. Kuwa na subira kidogo na natumaini hata faini hutanipiga. Barikiwa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]ukipitapita hovyo unakamatwa kwa kosa la uzururaji
shimba kuna sehemu nakusubiri umeuchuna je unajua madhara unayonsababishia? faini yake unaweza?
Hayo ndo maneno siyo kuuchuna ila wallah tena fine huwezi kuikwepa.Nivumilie rafiki. Niko kwenye hekaheka nyingi. Ila mwenyewe utafurahia. Kuwa na subira kidogo na natumaini hata faini hutanipiga. Barikiwa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]