JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimeongea na bbade kasema atakuja kunipa kampani, sema anaongea sana kiingereza, nina uhakika mpaka anafika atakuta changu kimeshanyooka.

Kama unavyojua bia inasababisha uongee English safi.
Hahahaa hio ni moja faida ya pombe. Ila mkuu uzuri ni umfaham akiongea english wew utaongea kiswahili pia yeye atafaham.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeongea na bbade kasema atakuja kunipa kampani, sema anaongea sana kiingereza, nina uhakika mpaka anafika atakuta changu kimeshanyooka.

Kama unavyojua bia inasababisha uongee English safi.
Mara ya kwanza kulewa (nilikua naonja onja tu zamani) nilikua nime maliza form 4 si nikapiga whysky kilichofata. Nikaanza kuwaadithia home kuhusu demu wangu alivokua ana niumiza, wakanipeleka room kufika nikampigia nikamchana vibaya sana[emoji23]wakati nilikuaga namuogopa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya kwanza kulewa (nilikua naonja onja tu zamani) nilikua nime maliza form 4 si nikapiga whysky kilichofata. Nikaanza kuwaadithia home kuhusu demu wangu alivokua ana niumiza, wakanipeleka room kufika nikampigia nikamchana vibaya sana[emoji23]wakati nilikuaga namuogopa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha, ikawaje baada ya kumchana?
 
Mara ya kwanza kulewa (nilikua naonja onja tu zamani) nilikua nime maliza form 4 si nikapiga whysky kilichofata. Nikaanza kuwaadithia home kuhusu demu wangu alivokua ana niumiza, wakanipeleka room kufika nikampigia nikamchana vibaya sana[emoji23]wakati nilikuaga namuogopa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipta ujasiri kutoka sehem isiojulikna[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom