JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hahaha unaikumbuka Predetor,, na ile ya yule mnigga analiwa na mamba,, movie flan hv za kikomandoo

Sent using Jamii Forums mobile app

Predator ilikuwa ya Anorld, kuna mniga anachekecha kulielekezea lile dudu hapo hapo likapitia mkono.

Ile ya mniga wa mamba inaitwa The Hard Way, nilikuwa naiona ni ya kibaguzi sana, kwa nini mniga ndo aliwe na mamba mapema na wale wengine wakaendelea na movie.
 
Predator ilikuwa ya Anorld, kuna mniga anachekecha kulielekezea lile dudu hapo hapo likapitia mkono.

Ile ya mniga wa mamba inaitwa The Hard Way, nilikuwa naiona ni ya kibaguzi sana, kwa nini mniga ndo aliwe na mamba mapema na wale wengine wakaendelea na movie.
Yap,, predator ilikuwa ya ukweli sana,, Anord bhana hajawahi kuzngua kwenye movie zake,, kama Terminato

Yap,,asante kwa kunkumbusha mkuu,, The Hard Way

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap,, predator ilikuwa ya ukweli sana,, Anord bhana hajawahi kuzngua kwenye movie zake,, kama Terminato

Yap,,asante kwa kunkumbusha mkuu,, The Hard Way

Sent using Jamii Forums mobile app

The Hard Way kuna muda starring anaingia na bonge la pikipiki kwenye kambi ya maadui, wakaanza kulipua mapipa ya mafuta.

Dah, old is gold.
 
Ila kuna movie zingine zinauma sn,kama Ile ya Rescue down.

Na Ile chuck Norris anateswa sn mpaka anajifanya amejinyonga

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha, tulikuwa tunateseka kama vile ni kweli.

Mimi nilikuja kushangaa namwona yule mniga wa predator kwenye movie nyingine, napo akafa.

Nilivyorudi nyumbani namuuliza mdingi kwa nini jamaa afe mara 2? Mzee ananiambia hizo movie in uongo. Wanatengeneza, nikawa simwelewi.
 
Back
Top Bottom