Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,937
CHAPUTA ?[emoji23]Mmeanza kutafutana ,tusiokua na watu,bora turudi chama tu
[emoji767]101-03-821.M|T|C
No no no usiseme ivyo bhanaKweli? Nilijua kashanisahau na kapata mwingine
Asante nawe piaMuwe na usiku mwema wadau.
Nimefurahi sana asante kwakuwa rafiki bora kwake na kwangu pia.No no no usiseme ivyo bhana
Jamaa deile anakukumbuka ila sasa kuna sababu ambazo zipo juu ya uwezo wake dats y unaona kimya pamoja na ukimya wake jamaa boda anakukumbuka dats y nimefikisha salam nilizo pewa
Tumeacha jana tuu baada ya mim kuingia ziwa tanganyika kuvua samak[emoji12] [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nawe pia
Nipo leo umenichuniaHa! Kumbe upo?
Nikitoka ziwan ntakupitishia pale kwenuNimefurahi sana asante kwakuwa rafiki bora kwake na kwangu pia.
Vipi samaki wapowapo?
maksudi kabisa
Yap wee nipe tu mkuu!Mkuu, mi najifurahisha tu hapa kutafuta usingizi; na siko kwenye haya mambo kihivyo. Unataka nikupe links ukayasake mwenyewe?