Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,391
- 95,846
Mkuu si ndio vzr tunakutana huko nami namkaribisha tukiwa huko vzr tu ,Hahaha usiniwekee kauzibe ( just a joke)hahha ukichelewa utakuta vizuri vyote vimechululiwa,yani kama ni mwanaume wa ndoto zako unamkuta tayari kachukuliwa,utajikuta mnabaki kuangaliana tu na Mtu chake ata kama haumpendi ndo vile hakuna namna unapewa uyo uyo