Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,492
Taratibu kuna misukule inapita hapaaapopoooz
Taratibu kuna misukule inapita hapaaapopoooz
[emoji1] [emoji1] [emoji1] nimeshakwambia utakuja kukutana na binti jini wewe!Ngoja niotee za mwanzoni hapo maybe ntakupata
Karibu uwanjani!popoooz
hahha misukule zake dua tuTaratibu kuna misukule inapita hapaaa
Potelea mbali[emoji1] [emoji1] [emoji1] nimeshakwambia utakuja kukutana na binti jini wewe!
wewe mtu upooKaribu uwanjani!
Ati nina nini? Nitake radhi swahiba.I guess mhusika ana kitembe hivyo INA maana ya Sad ila yy ndo anasema Thad,[emoji1] [emoji1] [emoji1] kidding
Ya mumeoTaratibu kuna misukule inapita hapaaa
Nipo dear, nilikuwa nimetekwa sasa nipo huru. Karibu tukeshe mwayawewe mtu upoo
Hhhh jina langu hulijuiNi watanzania wachache wanaotumia majina ya asili ya kiafrika wengi wetu bado tunatukuza majina ya wakoloni wetu wa kizungu na kiarabu. Wewe ukiwa mmoja wapo, hivyo usinishangae kuitwa Thad[emoji12]
Vya bure aghali oh shauri yako![emoji23]Potelea mbali
Ukiwa jini ndo vizuri unipe mipesa,naacha kazi
Afu mbona hufiki ?Vya bure aghali oh shauri yako![emoji23]
Nimeghairi, wacha nilale zangu!Afu mbona hufiki ?
Kwanini jamani ?Nimeghairi, wacha nilale zangu!
Tafasali ndo inaniweka mjinihahha misukule zake dua tu
haya nafurahia uwepo wako mtekaji mwambie asikuteke tena bado tunakupendaNipo dear, nilikuwa nimetekwa sasa nipo huru. Karibu tukeshe mwaya
NdiooooYa mumeo
haha msalimie kaka sanaTafasali ndo inaniweka mjini
Msisahau ku record mambo yenu ya ulozi ili mkiachana tuyaone kama wale wa arushaNdioooo
Yupo pemben kalala tumejifunika ngozi za pundaaahaha msalimie kaka sana