Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,492
Kaka amelala wifiii kachoka na kusumbuliwa na misukuleHarika! Wifi wewe kaka mshana yuko wapi unageuka geuka huku [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kaka amelala wifiii kachoka na kusumbuliwa na misukuleHarika! Wifi wewe kaka mshana yuko wapi unageuka geuka huku [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kumbe hahahah na wewe ulikuwa unachunguliaKumbe we ni kijana hivo
Nikawa nadhani mmaza
(Avatar)
Kaka amelala wifiii kachoka na kusumbuliwa na misukule
Huku kuna ulinzi wa tunguliHivi kaka akilala macho yake yote matatu yanafunga
NdioKumbe hahahah na wewe ulikuwa unachungulia
Sijakuelewa vile mkuu,unasemaaa?Daaa jaman Sipo nje tena nipo hapahapa penye uchaguzi wa mavurugu huku kikundi fulani kikijidai kupendwa na wananchi wakati ni full kupora.
Ila pia nimepewa leooo!!!!
Mkuu elewa hivo hivoSijakuelewa vile mkuu,unasemaaa?
Mkuu karibu buana upokee lindo maana die wengine virungu kila mara vinatuponyoka mikononi naona macho yanasalimu amriWakuu kwema hapa? Sijapita humu kitambo sana!
Jela si pazuri hata,nlikuwa nachungulia dirishani
Mkuu mimi sasa hivi nabeba box hapa kwa malkia,nimepita tu kuwasalimia kidogo,so endelea na lindo tu mkuu.Mkuu karibu buana upokee lindo maana die wengine virungu kila mara vinatuponyoka mikononi naona macho yanasalimu amri
Ah mi natoroka aisee,msalimie sana Jorginho mkuu mwambie karibu sana darajani.Mkuu mimi sasa hivi nabeba box hapa kwa malkia,nimepita tu kuwasalimia kidogo,so endelea na lindo tu mkuu.
Mimi ndo mida yangu hii,nimekumiss mno jiraniLeo nina kazi ya ulinzi...
Jambo
Kunalalika basi, usingizi ukishakata umekata.Mkalale