JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 626
- 938
Katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani JamiiForums iliandaa mkutatano na Waandaaji wa Maudhui Mtandaoni ambao ni Wanawake. Katika mkutano huu Wadau hawa walijadili changamoto mbalimbali wanazopitia Waandaaji hao wa Maudhui Mtandaoni zikiwemo Matusi, kauli za kudhalilisha n.k
Wadau hawa walipata muda wa kushiriki katika majadiliano ambayo yalielezea dhana potofu zilizopokuhusu wanawake na namna nzuri ya kuondoa dhana hizi kwenye jamii