Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Bwashee, hapo mwanza kuna fimbo za kisukuma za moto, zina mashepu na hips za kuvunja chaga halafu zimepanda hewani
Si ndipo nashangaa hawa washamba wa Dar , ujue mtu akiishi Dar anajihisi ye ni mjanja kumbe mshamba tu...

Watu wanafanya kufuru huko katoro vijijini hawa wenzangu tuliopo Dar tumebakia kusema tu 'tunaishi Dar'.
Huo pia ni ushamba... vijana baadhi wa Dar huwa ni washamba halafu bad thing hawaelewi kama ni washamba..
 
Mkuu, urembo ni subjective. Lakini pia usipoweka wazi kuwa ni maoni yako, usishangae ukipingwa . Wakati huo huo pia usisahau kwamba ni wajibu wako kuthibitisha madai yako.
Nithibitishe kipi...
We nenda wasukuma wanapopatikana kanda ya ziwa..
Kwa makabila yote Tanzania kwenye 3 bora ya wanawake wenye maumbo mazuri.. wasukuma wamo.. tena kwenye mikia itakuwa wanaongoza..
 
Usharogwa mkuu, sio bure...🤣
IMG-20260718-WA0013.jpg
 
Ungeweka japo hata kabila kumi kisha tupige kura
MFANO:
1 wazigua

2 wairaq

3 wazaramo

4 wahaya

5 wamasai

6 wasukuma

7 wa mang`ati

8 wapemba+

9 wachaga

10 wamakonde

KISHA wadau wanapiga kura kuliko
Kwa kigezo cha kuruka majoka kitandani bila kuchoka, hapo ranks itakuwa hivi;
1. Mmakonde
2. Mhaya
3. Msukuma
4. Mzigua
5. Mzaramo
6. Mpemba
7. Wote hao wengine

Ila kwa utulivu, heshima na ndoa endelevu nambari uno ni Msukuma japo nao siku hizi baadhi wamekuwa vivuruge.
 
Bwashee, hapo mwanza kuna fimbo za kisukuma za moto, zina mashepu na hips za kuvunja chaga halafu zimepanda hewani
Jana nimeenda na rafkiangu kwa kaka yake, nikakuta huyo mkewe mzuri kweli kweli ana shape hilo na anavaa kiheshima nikajua mtu wa singida alivyo mweupe, kumbe msukuma bana tena ntuzu, aisee ni mtu mzima lakini bado mrembo vibaya mno! Ana heshima! Anamsikiliza mume wake mpaka raha, akikatazwa kitu anasikia, hatokagi hata nje, akitaka kutoka anapiga simu anaomba ruhusa, amekatazwa kutumia social networks, huwezi amini hatumii, yani anatii, now i know why am still single kwa hii kiburi nisingefit vigezo🤭
yani kajishusha sio mchezo, nikasema kumbe wanawake wanaojitambua wazuri bado wapo sana , watu wanakutana na vitu vya ajabu kivyao tu! Yani mme wake akirudi anamjali mpaka mnasema heeh! watu wanapenda ndoa zao🤭
 
Jana nimeenda na rafkiangu kwa kaka yake, nikakuta huyo mkewe mzuri kweli kweli ana shape hilo na anavaa kiheshima nikajua mtu wa singida alivyo mweupe, kumbe msukuma bana tena ntuzu, aisee ni mtu mzima lakini bado mrembo vibaya mno! Ana heshima! Anamsikiliza mume wake mpaka raha, akikatazwa kitu anasikia, hatokagi hata nje, akitaka kutoka anapiga simu anaomba ruhusa, amekatazwa kutumia social networks, huwezi amini hatumii, yani anatii, now i know why am still single kwa hii kiburi nisingefit vigezo🤭
yani kajishusha sio mchezo, nikasema kumbe wanawake wanaojitambua wazuri bado wapo sana , watu wanakutana na vitu vya ajabu kivyao tu! Yani mme wake akirudi anamjali mpaka mnasema heeh! watu wanapenda ndoa zao🤭
Wasukuma ni pisi hatari, yani ukikuta ya moto ni ya moto kweli na imekamilika kila idara halafu hawanati kiboya wapo humble tu
 
Nithibitishe kipi...
We nenda wasukuma wanapopatikana kanda ya ziwa..
Kwa makabila yote Tanzania kwenye 3 bora ya wanawake wenye maumbo mazuri.. wasukuma wamo.. tena kwenye mikia itakuwa wanaongoza..
Hapo kwenye makebo na umbo mnyumbuliko nakataa.
Wasukuma wengi wao wana shape za simba.
Mimi ni kaka yao kwahiyo niandikacho ni uhakika.
Tena ukitaka kuoa Msukuma og wala usijichanganye kwenda lake zone. Nenda Mpanda, Mbeya au Malinyi huko ndo kuna wasukuma wenye maadili mazuri ila mahari yake imechangamka haswa.
 
Back
Top Bottom