Tunajua na kuheshimu, mama zetu waliyatenda haya, hawakutulea kwa mafundisho ya feminists bali kwa kufuata maagizo ya Mwenyezi Mungu. Tunajivunia hao na kujisikia fahari kulelewa na mama wa aina yao.
Pole,mtoto anahitaji mapenzi ya baba na mama,
bond husaidia mtoto ajifunze social skills.
..mtoto aweze kuinteract na both men and women#
,sasa nyie mliolelewa mama akiwa 'kijakazi' na baba akiwa na Authoritarian Personality
huwa mna difficulties ikija relationship na wanawake……
..sitashangaa nyie watu mkiwa bado singles au mahusiano yenu yana walakini..lol...
kupiga kelele wanawake wasome na wafanye kazi sio u feminist..
These are demands put by our environment...
simply mtu mmoja hawezi kuprovide kila kitu
inabidi tusaidiane,
sasa kusaidiana huko kusiishie kwenye bills peke yake
na majukumu ya nyumbani pia...
nyie mliolelewa kwenye familia mnazodai hazikua za kifeminist..
mtapata tabu sana.
simply wanawake 'mliojijengea' picha vichwani mwenu..hawa exist in this modern world...
mnawatafuta 'mama' zenu katika relationship zenu..??
hamjui zama zimechange??
No wonder mnakuja na topics wanawake wamepokwa na jamii...
Wanawake wapo,ila mnasearch in the wrong fields...
Due to changes in the environment, our ancestors had to move from one place to the other...
Demands put by our environment,means both of us need to work..
ni hivyooo