Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,331
- 7,885
Hili bandiko limejaa mambo mazito na umeandika kwa hisia sana mpaka mimi mwenyewe limenipa msisimko. Pole sana kiongozi kwa yale unayopitia ila ninaamini kwa upeo na uwezo ulio nao utayashinda.Sio nyie tu wakuu, hata mie binafsi nimebaki hoi...!!
Lakini sio jambo la kushangaa sana, maana wao wenyewe kujimwambafy ndio wanaona ufahari wenyewe!! So hivyo wanavyoleta leagues na waume zao, ndio mioyo yao inasema safi-nimefaulu!!
Na niwe tu mkweli, mie mwenzenu nimekuwa na chuki kubwa sana, juu ya huu upumbavu unaoendelea dhidi ya hawa viumbe!!.
Hakika huu upumbavu, unaharibu sana familia zetu...bila shaka waliouleta, walilenga kuisambaratisha kabisa jamii kwa ujumla. Maana unapomuharibu mwanamke mmoja psychologically, ni sawa na umeharibu wastani wa kuanzia watu wa3, katika jamii husika. Na hii yote inatokana na kwamba, kiumbe huyo ndio mwenye karama ya malezi ya watoto na faraja ya mumewe....sasa ikitokea ndio ameoza, hipi itakuwa fate ya hao watoto na baba yao?.
Hakika jamii inateketea sana, kwa matokeo ya hii hali. Na sisi wenyewe ni wetness wa hilo, hakika tumeona watoto wakiharibika kimalezi, huku wababa wakizidi kupukutika siku hadi siku!!
For sure inaumiza sana, honestly hata me binafsi ni mmoja wa waanga wa hii kitu. Hii kitu imeacha alama kubwa sana, katika familia yangu! Hapa nilipo now nimebakiza only one mechanism defence, dhidi ya sumu hiyo...and i don't know if nitaweza au nitachemka!
Ila very sad, hawa viumbe wenyewe hawayaoni hayo! Na hiyo yote inatokana na kwamba, udhaifu wao wa kwanza hupo kwenye UPOFU WA MAONO.
Hakika siku zote, hawa viumbe sio watu wanaoweza kukaa chini na kuliangalia well, jambo moja in and out. Then wakanyanyuka na ujumbe uliokamilika....
Ndio maana M/Mungu, hakawapa wao jukumu la malezi ya familia na sio uongozi wa familia. Maana uongozi wowote, unahitaji nguvu ya maono!
Sasa ukichukua hiyo hali ya upofu walionao, uka-plus na msimamo wa ubishi (msingi mkuu wa feminism), matokeo yake ndio hii hatari tunayoiona sasa. Hapo ni sawa sawa na kipofu, anayekataa kushikwa mkono na kuongozwa kule aendapo.......in fact you can guess, ni nini kitakachompata mtu huyo!
Lakini tusilahumu sana, maana tunaweza tukajikuta tunakufuru bure!
Why nasema hivyo?.
Hakika nasema hivyo, kwa sababu ukiangalia hili suala lilivyo.....unaona kama ni matimisho ya maandiko matakatifu ya kidini.
Mfano mzuri kwetu sisi wakristo:-
1: Tunaona zipo sehemu mbalimbali, zinazo muimiza mwanaume kuishi na mwanamke kwa akili.
Sasa jiulize kwanini mwanaume...??
2: Mwanamke upumbavu uvunja.....kwa mikono yake mwenyewe!
Pia jiulize, ni kwanini mwanamke...??
Note:
Tukumbuke kwamba hata yale, yaliokuwa yanaendelea kule Salem, yalikuwa ni part of plan ya Mungu wetu. Na ndio maana, hata msaliti....alitabiriwa kabisa kwamba atafanya utasaliti.!!
Basi kwa msingi huo, nadhani sisi wachache tulio angalau na mwanga, juu ya hiki kinachoendelea. Tujitaidi kufanya kadili tuwezavyo, kuzikumbusha jamii zetu juu ya nini kinaendelea. Na tusihishie tu hapo, inatubidi pia kuwekeza nguvu kubwa ya kuhakikisha, watoto wetu pia hawaji kuharibika na wao.
Ingawa its hard, lakini tujipe moyo.....we can. God is Good!
Hawa binadamu wenzetu walinyimwa MUONO na hii ni tatizo kubwa kwao. Uwezo wa kung'amua jambo kiundani na kubaini kama lina hasara na hasa kama hasara hizo ni za muda mrefu hawana kabisa.
Wameletewa elimu(kitu ambacho ni kizuri) lakini elimu hiyo imekuwa twisted kwa namna fulani kiasi kwamba inawajenga wakati huo huo inawabomoa bila ya wao kujua.
Angalia leo hii mwanamke anasoma hili aje ashindane na mwanaume na sio kuja kushirikiana na mwanaume kwenye ujenzi wa jamii iliyobora. Na hili tunaweza kuliona hata hapa kwenye huu uzi, wao wanaona elimu ni nyenzo ya kupambana na mwanaume.. Inasikitisha kweli.
Sipingani na mwanamke kuelimika ila napingana na namna ambavyo elimu inatumiwa na mwanamke hasa kwenye ushirikiano wake na mwanaume kijamii. Wengi wanaweza wakaniona kama mtu fulani niliyechanganyikiwa kwa kuongea hivi lakini hapa kunaa tatizo na linahitaji kuangaliwa.
Mfumo wa haki sawa(gender equality) hapo awali ulikuwa na dhamira nzuri sana tofauti na ilivyo leo hii, ililenga kumpa mwanamke uhuru sawa na mwanaume na access ya mambo ya msingi kama elimu. Lakini haukulenga kumbadilishia mwanamke majukumu au kumpora nafasi yake ya asili.
Leo hiii mfumo huo jinsi unavyokuwa practiced ni kama umekuja kumfanya mwanamke kuwa mshindani wa mwanaume, na matokeo yake umetuvurugia familia na jamii nzima kwa ujumla.
Na kwa bahati mbaya sana hawa wenzetu wao hawalioni hili kama lina athari na badala yake wanaona ndio matokeo ya ukombozi wenyewe.
Waanzilishi wa huu mfumo wana ajenda zao za siri ambazo zinahitaji jamii iliyopalanganyika hili ziweze kupenyezwa kwa urahisi. Na mfumo huu ni nyenzo sahihi ya kutimiza ajenda hizo.
Ukiangalia jamii yetu ya sasa hivi sio sawa na zamani kimaadili na hata kuroho. Na kupitia mabadiliko haya kuna watu wananufaika bila ya tulio wengi kujua.
Siku hizi kuna mambo mengi sana ya ajabu ajabu yanaonekana ya kawaida tangu tuingie kwenye huu mfumo unaosemwa kwamba umeleta uhuru.
Acha tuendelee kuwakumbusha na wale ambao bado hawajajua nini kimaendelea kupitia forums kama hizi.