James Mbowe ana cheo gani huko CHADEMA?

James Mbowe ana cheo gani huko CHADEMA?

1. Mambo mengine CHADEMA mnajichanganya aisee.

2. Huyu mtu hata kujieleza hawezi ana cheo huko CHADEMA?

3. Kiwango chake cha juu cha Elimu? Usikute ngumbaru mwenzetu!!
Kwa ujinga wako maprofesa ndio wanajua siasa! Siasa siyo elimu ya chuo kikuu bali ni uwezo wa mtu binafsi kwenye kujenga hoja.
 
Cheo cha kuwa mtoto wa aliekuwa mmiliki wa chama.

Ana hasira iliyokuwa SACCOS yao si yao tena.

Pia ni bepari mmoja mwenye tabia ya kutumikisha watu bila kuwalipa.

Kwa ufupi ni a spoilt rich kid anaehisi dunia yote inazunguka na makalio yake.
 
Back
Top Bottom