Lara, hizi story ziwe za kweli au zisiwe kweli, it doesn't matter.
Style na maneno yanayotumika katika uwasilishaji binafsi I like it.
Kuhusu huyo mwanamke wake wa zamani kukupigia umuache mtu mzima, it's something natural u know.
Lakini kwa kuwa tayari umeshahisi huruma kwa mwanamke mwenzio, then let it go, who knows may be kesho utashusha story kwamba mambo yametiki somewhere else where u didn't expect.
Otherwise I really dig ur stories, unajua tena sisi wanaume tulio mid 30s Hahahaha
Ooyyyy komando kipensi nimekusoma niaje huhuhuuuuu meeting nyingine tuwe tunashtuana bana aaaghhh hizi habar za kula mwenyewe naumia roho kwanini kila siku wewe tu settled na Good life..... tunanyimana bahati huuuu badala ya kusonya nimefeel pain in the butt daaaaa weee komando kipensi balaa hili....
kwanza vip kazi umepata au baada ya baba p kuzingua ndio ntolee???
ayaaaaaaa hio crush na huyo mtu mzima na huyo bidada alojitokeza unampango gani nao???? bidada roho kumuuma unaanzaje kumchukua mtu mzima mwenzie??? huhuhuuuu najua huwezi muacha faster.....
kabla hatujafika mbali andaa kibubu kabisaaaaa mwisho wa siku usije ukalia na lako rohoni baada ya kuto- earn chochote afu mambo ya kurushana roho uache si unajua adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie????? lara1 let me pad out now ntarudi
Looooooo! WE SI SHOSTI WANGU UNANIITAGA KILA MAHALI NIKUTANGAZIE KAMA CHUZI LA MOMBASAAAAAAA EEEEEEEEEH! Na mie sina choyo jamani MENDEEEEEEEEEEEEEEE huku ana waya waya. Nakutangazia kama hivo.
Wataka ubisheeeeeeeeee? Yaani dume zima, na pu.mbu zake akubali kuitwa chuzi la mombasa, choko, mende bado tu yumooooo, anangana na ku comment THUBUTUUUUUUUUUUU!! Hata iwe kwa kulipwa haweziiiiii. Ila nyie sasa kuku wa kuchora kama weye shosti langu la ukweeeeeeeee NAKUWA KAMA NIMEKUTIA NDIMUUUUUUUUUUU! Utakata mauno hatariiiiiiiiiiiiiiii. Ukiona watu wakushangaa sana ndo kujitia kuzuga kama hivo! Teeeeeeeeeeh! JIKUBALI MWAYEGO NDO ULIVOUMBWA SIJUI TAMAAAA VOVOTE VILE WE JIKUBALI TU.
Mi nishakukubali na kukukaribisha kwa mikono miwili kwenye nyuzi zangu uje uvune MIBAHASHA tani yako. Shoti mimi na wewe saihivi sikunyimi kitu, hata wanja ukitaka nakugea.:biggrin:
WEWE NYUZI YAKO YENYE LIKES 2 IKO WAPI????????? Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Nicheke kwa masikitiko mie. NAELEWA WOTE HUO WIVUUUUUUUUUUUU TUUUUUUUUUUUUU! Sababu ni 0 brain we endelea kunijazia comment kama hivo maskini ya Mungu maana ukisema ususe utaenda wapi??????????????? Na ukianzisha uzi kama una MAVI watu wanau susa suuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! aNDIKA MWAYA HAPA, NDO USHANUKAAAAA, NITAKUVUMILIA TU. Hahahahaaaaaaaaaaa!
Kwa maneno haya ukigombana nae huyu lazima utokee dirishani maana mlango huwezi kuuona kabisaaaaaa!
Hahahahaaa!! Hayo tuu shuka chini uone kazi. I HAVE A REPUTATION YA KUCHAMBA! Kuna mashoga humu bila kuitangazia biashara zao itanikalia kooni. Kama hivo nikisha watangazia roho zao zinaridhika, naendelea na mambo mengine.
Mchukue tu shogaaa, baki nae kabisaaaaaaaa. Mi na watu wanao tumia mambo ya pwani tofautiiiii kabisaaa. Mie mtu wa baraaaa. FAILED JF AS HOLE UMEUMBUKAJE SASA LEO kudandia treni kwa mbeleeeeeeeeee! Wenyewe hatuna habari na shoga angu mie. Nahisi limekushuka shuuu huko uliko! Hhaahhaaaaaaaaaaa!
uzi umejaa uongo, acha fiksi bibi yetu
Uuuwwii...U've made my evening lara1
Achana na haters