Jamani Watu Wazima Watamujeeeeeeee! Nimekufwaaa for Mtu Mzima. (Reader Be Aware PG 30).

Jamani Watu Wazima Watamujeeeeeeee! Nimekufwaaa for Mtu Mzima. (Reader Be Aware PG 30).

Napenda kusema kwamba kwa jinsi ulivyoandika imeboa wengi. Naomba kuwasilisha . Asante!
 
Tatizo ya story zako zinaishiaga na michambano humu.....
Ushauri matata ninaokupa ni kuwa kabla hujamvulia chupi huyo mtu mzima hakikisha amekufungulia biashara inaendelea na at least kakiwanja akununulie.
Kinyume na hapo I smell something fishy between him na baba P.

N:B , sijui huyu baba P ni yule family friend wangu? Lol!!!!
 
Aisee huyo kaa naye kibingwa akurekebishie maisha kisha pata wako wako wa ndoa finito

Ujue with age comes WISDOM!!!!!!!! Hakuna kitu kibaya kama kumkosea mahesabu mtu mzima afu astuke huna mpango nae wa mbele! tse tse tse tse tse yani ni deal breaker hatariiiiiiiiiii! Mtu mzima ukitaka kummaliza unacheza fools card mwanzo mwisho.
 
Tatizo ya story zako zinaishiaga na michambano humu.....
Ushauri matata ninaokupa ni kuwa kabla hujamvulia chupi huyo mtu mzima hakikisha amekufungulia biashara inaendelea na at least kakiwanja akununulie.
Kinyume na hapo I smell something fishy between him na baba P.

N:B , sijui huyu baba P ni yule family friend wangu? Lol!!!!

Ndo nilichokua nasema mda si mda WITH AGE COMES WISDOM!!!!!! Mtu mzima kumzidi akili inataka mahesabu ya hali ya juu. Napolala mimi leo yeye kapaamkia majuzi. ONLY THE TRUTH CAN SET ME FREE.

Yeye sio bozo mapema yote hii anifanye investment. Some part of his heart believes i am in for money! Basi tu anatafuta ku prove his suspicions right. In the longrun maybe anaweza fanya investment tena kwa kutaka mwenyewe sio kumhadaaa for appreciation maybe.

ALL IN ALL NDANI YA MDA MFUPI NIMEGUNDUA HII LIGI YA WATU WAZIMA NI NGUMU SANAAAA.
 
Napenda kusema kwamba kwa jinsi ulivyoandika imeboa wengi. Naomba kuwasilisha . Asante!

Poleni sanaa kwa kuboreka,mniwie tu radhi, mie pia binadamu navoandika inategemea na mood niliyopo.

Kwa maboresho ya baadae wewe kama wewe unapendekeza niandikaje labda? Nini kinachoboa? Uandishi au story? Maana watu wengi hii story sio MORAL WALA ETHICAL basi lazima iwa put off. Wengi wanao ishabikia ni macheki bob tu, na mabachelor, maybe na wana ndoa wachache sanaa wale neo classical au modern.
 
Ndo nilichokua nasema mda si mda WITH AGE COMES WISDOM!!!!!! Mtu mzima kumzidi akili inataka mahesabu ya hali ya juu. Napolala mimi leo yeye kapaamkia majuzi. ONLY THE TRUTH CAN SET ME FREE.

Yeye sio bozo mapema yote hii anifanye investment. Some part of his heart believes i am in for money! Basi tu anatafuta ku prove his suspicions right. In the longrun maybe anaweza fanya investment tena kwa kutaka mwenyewe sio kumhadaaa for appreciation maybe.

ALL IN ALL NDANI YA MDA MFUPI NIMEGUNDUA HII LIGI YA WATU WAZIMA NI NGUMU SANAAAA.

Unacomplicate tu , play hard to get it.
Oyiiii!!!!!!
 
ULIITWA UJE USOME AU NDO NYEGE MSHINDO ZIMEKUBANAAAAAAAA? Mie humu ALWATAN nzi mmoja kama wewe uspisoma hunipunguziii chochote, ushawahi kuona ime ku menion japo kimakosa tu? Thubutuuuuuu yako! Haya KAFIE MBELE NITAPITIA KWENYE MAZISHI. Haahaaaaaaaaaaa!

Ukisoma mada zangu kiranga chako tu. Kutokusoma rahisi sanaaa nashangaaa mnakomaa neno neno hadi na nitaziongeza urefuuuu!

wazazi wako wana hasara kuwa na mtoto kama wewe, tafuta mume uolewe stress zitakuua
 
wazazi wako wana hasara kuwa na mtoto kama wewe, tafuta mume uolewe stress zitakuua

HAHAHAAAAAAAAAAAA! Mwenye stress wewe ndugu yangu,hunijui sikujui ila NCHO ANDIKA HAPA KINAKUENDESHA KIMAISHAAA. Ungkuwa na raha usingekuwa na huu mda mchafu wa kusubiria niandike utope povu. POYEEEEEEEEEE TOTO JURIIIIIIIIIIIIII!!!!!!!!!!!!!

Mwenzio sina mdaaa na nyuzi unazozianzishaaa wala kutaka kujua hata kwa mbali we ushuzi gani na unafanya nini humu ndaniiiiiiiiii! SINA MDA MCHAFUUUUUUUUUU! The only time nayogundua una exist ni kama hivi ukija kujipendekeza kwnye uzi wangu! POYEEEEEEEEEEEEEEEE! NA NITAKUPELEKA MSOBE MSOBE MPAKA UOMBE POOOOH! Hahahahaaaaaaaa!

Tofauti yangu na nyie YOU ARE REALLY OBSESSED WITH WHAT I THINK LAKINI MWENZENNU I DONT GIVE A RATS ASS MNAWAZA NINI, WALA MNAFANYA NINI HUMU JF! R.I.P
ass-kicking.gif
 
Unacomplicate tu , play hard to get it.
Oyiiii!!!!!!

Time is a scarcity commodity. Mtu mzima doesnt have 5 years to star a family. ASAP ndo inamuhusu. Hard to get i a long shot! I guess ill play the fools card nione tu mwishowe utakuwaje.
 
Sasa aliyemstari wa mbele ni baba P au mtu mzima mwenzie wa kukamata conta fasta?
 
Time is a scarcity commodity. Mtu mzima doesnt have 5 years to star a family. ASAP ndo inamuhusu. Hard to get i a long shot! I guess ill play the fools card nione tu mwishowe utakuwaje.

Mwisho utaliwa tu , kazi hutapata....
Utabakia km mlivyokutana usipokuwa smart enough.
 
Chuma hiki huwa nakikubali sana ila story ya kazi inahusu hapa lete mrejesho.
 
Mwisho utaliwa tu , kazi hutapata....
Utabakia km mlivyokutana usipokuwa smart enough.

Kazi nishakosaaa, huyu mtu mzima mwingine mahusiano yetu hayahusiani na kazi kabisaa, wala hajui mimi na baba P tunabiashara gani, wala hajui kama natafuta kazi. Kubakia kama tulivokutana hilo pia neno, maana napewa hela ya consumpion tu up to now. Lakini huoni pupa pupa zitanipunguzia point.
 
Chuma hiki huwa nakikubali sana ila story ya kazi inahusu hapa lete mrejesho.

Pale mdau kazi hakunaaa. Baba P alitaka kuniletea uhuni wa kizamani, ana FLASH mambo makubwa, mazuri, yaliyotukukaaa mbele zangu, ile EYES ON, HANDS OFF, mpaka nipagawe ile ilee kondooo nijipeleke machinjioni mwenyeweeee. Nikashaingi kingi, tukiwa tunatafuta visa, na admission ananige hela ndogo hizooo, najiona hapa nimefikaaa, nampa mzigooo wooote ajipimie yeye atakavyo. HAPO NDO NAKUWA NIMELIWAAAA. Ikifikia kulipa sasa ada lile picha kamili, anaanza kunibadilishia story vimepanda vimeshukaaa, chiu ashakulaaa kitamboo nitamfanya nini? Hata nikienda kumwambia mama P hatoniamini maana vitu havieleweki kazi, shule, kimepanda kimeshukaaa. Huenda hii ndo plan yake. Or he is just loaded rich old guy, maybeangenipeleka kweli, i will never know for sureee.ILA WHAT IS CERTAIN KAZI HAKUNA PALE.
 
Sasa aliyemstari wa mbele ni baba P au mtu mzima mwenzie wa kukamata conta fasta?

Mtu mzima mwenzie ndo kufunga bao la mkono kama Maradona. Ananiulizaga baba P, mpo kivipi namwambia family firend tu yule, mkewe rafiki wa dada yangu. Anaguna guna tu.
 
Back
Top Bottom