sr bachelor
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,198
- 800
HIyo sawa lkn kua wale anatamka kabisa umeleta hasara kwasababu hujaenda shule kama mimi nk nk...Pia kuna another possibility. Kuna watu wana inferirity complex. Unaweza ukawa hujamtakia neno lolote baya. Mfano unapingana tu na kitu fulani. Sababu ana inferiity complex anaanza kusema unanipinga sababu sijasoma au sababu wewe umesoma sana. Yaani huwa inakuwaga hivyo soemtimes. Au chochote utachosema anakuwa offended.
Waliosoma sana kwenye mahusiano ni zero. Halafu mara nyingi wanaamini wewe ndio unatakiwa kujikomba kwao. Yaani kuwa na wewe ni kama amekupa msaada. Ni sheeeeda hao watu.
yaani ameingiza hasara then abembelezwe akuu...hakunaga jamani at the ci mnafisika kisa kuchekeana eti mapenzi wapi wwe even me.
kuna wakina dada wanabahati mbaya wanakutana na wanaume ambao 'selfish' hiyo ni shida mnao...yaani mtu mimi, mimi, hela zangu, mimi nimesoma, magari yangu, mimi utaniambia nini nimesoma..ukidate na mtu wa mmimi, mimi, mimi,mimi kimbia ufe...
Na wenye degree, dini moja, wameajiriwa, wengine kabila moja na hata wamekuwa mtaa mmoja wanaachana hawa unawaweka kundi gani???!!!
Hahahaa umenichekesha sana eti kimbia ufe lol! @ Sr bachelor, Back to the topic kuna mwanaume aliwahi niambia ameachana na Mkewe kisa hakuwa Innovator anyhow! Duuuh
Hahahaa umenichekesha sana eti kimbia ufe lol! @ Sr bachelor, Back to the topic kuna mwanaume aliwahi niambia ameachana na Mkewe kisa hakuwa Innovator anyhow! Duuuh
Ndo inavokuwaga msomi akae na msomi mwenzie vinginevy umeliwa! Kuna my ex mmoja ilikuwa nikienda kwao mama yake anamuongelesha ki FRENCH! Makubwaaaaaaa! Basi nangaaaje sharubu! Mpaka nikajifunza cha kiombea maji! Japo kuongea siwezi ila wakinisema naelewa! Loooooooh! Sasa ukute mumeo anawasiliana na mchepuko wake ki English au French wewe umekaa hapo hapo! Hawasemi I love you! Ili ustuke? Thubutuuuuu! Wanasema i adore you! Hahaaaa!
Wacha yamkute ndiyo aliyo chagua. Hakutafuta mume alitafuta msomi
Ni kweli wapo wa aina hiyo... LAKINI DADA MALKIA FARASI...KIMBEMBE UKUTE ZE OPOZITI SASA.... YAANI MWANAMKE NDO AWE NA HIYO PHD HALAFU MWANAUME NDO ANAISHI NA DEGREE YAKE... utashaaa na dunia... Na Mungu alivyowajaalia VOKABULARE...Mbona utajutaa....!!! Sasa mwanaume uzidiwe hivyo wakti huyo ye vika vyake vya kirafiki anakaa na aliyewahi kuwa mwenyekiti wa waliokwenda Beijing halafu naye ana elimu kama yake halafu HAJAOLEWA....Mwidiwee.. Namahorooo wana JF
Bado Niko najiuliza maswali juu ya wanaume wasomi hasa hasa kuanzia level ya masters, PhD hadi kule kwenye ukuta ulioandikwa elimu tena basi kwanini wengi wao wanakuwa wanatabia ya kupenda kuwadharau wake zao hasa ukikuta wamewapita kiwango cha elimu mfano mke ana diploma yake ya ualimu au digrii yake ya course ya kuchechemea.
Naongea hivi kwa experience kwa sababu nimekutana na kesi kama tatu zenye kufanana lakini hii ya nne too much.
Haya yamemkuta shosty wangu mmoja hivi mwenye degree yake ya sociology na GPA ya kuchechemea na mchuchu wake mwenye PHD ya mambo ya planning.
Sikutaka kuchukua details nyingi kwa sababu elimu yake hainisaidii wala kuniletea hela ya ugali
Back to the topic, shosty kipindi kabla hajaolewa mapenzi yamechanua kama maua ya saa nne alikuwa anajisifia kweli na mchuchu wake mara wanaume waliosoma sana waelewa sana, Mara mimi degree holder wenzangu nimpeleke wapi.
Maneno kibao kudharau waume za wenzie na kujifanya wa kwake ndio bora sana kama tunavyojua masikini akipata masaburi hulia mbwata, sie tena wenye vicertificate holder vyetu tukawa tuna zip our mouth shut tunajipa moyo maisha hayapimwi kwa wingi Wa makaratasi ya vyeti.
Basi bwana Shoga yule mwaka juzi kaolewa kwa shangwe na vigelele na sisi mashabiki kama kawa tupo mbele kumpa kampani, ndoa sasa ina miaka mitatu ndo anaona chungu ya ndoa mkaka kawa na dharau kila analoliongea mkewe sharti liwe prove intelectually with high thinking capacity, akikosea kidogo matusi najuta kukuoa kilaza mkubwa wewe degree yenyewe umeipata kwa bahati, mara mimi siwezi kukaa na kujadili maisha na watu ambao sio ma critical thinker, mara sasa utanishauri nini wewe na akili yako ndogo na maneno mengine ya maudhi.
Sasa juzi ndo ilikuwa komesha shoga kaingiza loss katika biashara ya familia ambayo mkaguzi ni Mr.
Alioona junijulai alitukanwa mpaka aliiona ardhi ngumu kuikanyaga kupooza machungu kabaki anatupigia simu mashoga zake kutupa mkasa na maneno ya najuuta kibao nikamwambia shoga vumilia ndo ndoa ilivyo vumilianeni kila mtu ana kasoro zake.
Back to my question: kwani mahusiano yanahitaji akili ya kukariri vitabu?
Kama mnaona vitabu ni mali si mngekaa single mkaendelea kukariri.
Najua wengi mko humu wenye hizo tabia acheni dharau ishini na familia zetu kwa amani, kama mkeo ana weakness mu encourage aweze vile unavyotaka kumnyanyasa kisaikolojia sio vizuri.
Unasababishia makovu moyoni ambayo inawezekana hata we huyajui.
Umeona maisha yasivyokuwa na formula kama MAGAZIJUTO eeeeh?
Hapo nadhani mume ndiye sio critical thinker alishindwa kujua mapungufu ya mkewe toka mwanzo wa mahusiano.
Unajua sisi watanzania wengi, tumelelewa kwa kusolve matattizo either kwa kulalamika, KULAUMU, kushout au kupigana..tunakuwa watu ambao tunaona matatizo hasa ya kawaida kama mwisho wa kila kitu, yaani unaweza kukuta mtu na mkewe, mke anafanya makosaa ya kawaida(si makosa makubwa kama kuchepuka) ya kawaida tu lakini badala ya kukaa chini kutafuta solution mtu anapanick atamtukania mama yake, atamuita kilaza, mshenzi, ni ile tu sisi wabongo hatuna utamaduni wa kukabili matatizo strategically na kusolve rather than kulalamika na kulaumu....vitu kama hasara vipo...watu wanafilisika mabilioni bana na wanarudi ndo iwe hasara ngapi sijui....
Hapo kwenye hasara sikubaliani na ww kabisa!!!!!"!!!!!!!! hasara nyng kwny vitega uchumi vya wanandoa inatokana na upande mmoja kuchota hela kwa matumizi binafsi yasiyohusisha hicho kitega uchumi ss hapo unategemea hasara ikosekane!!!!!!!!! afu kwako unaweza kuona kufilisika ni kawaida lkn si jambo dogo ss huyo kaka kawekeza badala ya faida ni hasara hata kama ni ww utachukulia poa .................. ndoa hii haina ushirikiano wa kufanya mambo kwa pamoja