Jamani wanaume wasomi mna nini?

Jamani wanaume wasomi mna nini?

Pia kuna another possibility. Kuna watu wana inferirity complex. Unaweza ukawa hujamtakia neno lolote baya. Mfano unapingana tu na kitu fulani. Sababu ana inferiity complex anaanza kusema unanipinga sababu sijasoma au sababu wewe umesoma sana. Yaani huwa inakuwaga hivyo soemtimes. Au chochote utachosema anakuwa offended.
HIyo sawa lkn kua wale anatamka kabisa umeleta hasara kwasababu hujaenda shule kama mimi nk nk...
 
Waliosoma sana kwenye mahusiano ni zero. Halafu mara nyingi wanaamini wewe ndio unatakiwa kujikomba kwao. Yaani kuwa na wewe ni kama amekupa msaada. Ni sheeeeda hao watu.

Nimekuelewa vizuri mno. kuna jamaa kapigwa chini na demu analalamika mimi na usomi wangu wote kakimbilia kwa mtu asiyesoma...lakni sema mshakaji alileta usomi mno
 
Hahahaaa, nimecheka sana!
Mkuu anayembembeleza mtu aliyefanya kosa ni waajabu sana! Lakini kama haumbembelezi haimaanishi umdharau.
Binafsi, achilia mbali mke wangu, mwanangu tu sidiriki kumuonesha dharau.

yaani ameingiza hasara then abembelezwe akuu...hakunaga jamani at the ci mnafisika kisa kuchekeana eti mapenzi wapi wwe even me.
 
Mi nafikiri hiyo ni tabia ya mtu na wala haina uhusiano na Elimu ya mtu maana kuna watu hiyo shule siyo kivile ila bado wadharau sana tu. hiyo ni asili ya mtu
 
kuna wakina dada wanabahati mbaya wanakutana na wanaume ambao 'selfish' hiyo ni shida mnao...yaani mtu mimi, mimi, hela zangu, mimi nimesoma, magari yangu, mimi utaniambia nini nimesoma..ukidate na mtu wa mmimi, mimi, mimi,mimi kimbia ufe...


Hahahaa umenichekesha sana eti kimbia ufe lol! @ Sr bachelor, Back to the topic kuna mwanaume aliwahi niambia ameachana na Mkewe kisa hakuwa Innovator anyhow! Duuuh
 
Hahahaa umenichekesha sana eti kimbia ufe lol! @ Sr bachelor, Back to the topic kuna mwanaume aliwahi niambia ameachana na Mkewe kisa hakuwa Innovator anyhow! Duuuh

Ni shida kubwa nahisi ni kute kote, na ni maisha tuliyojifunza ya kulaumu zaidi kila linapotokea tatizo badala ya kulitatua...mimi huwa nawawambia washkaji ivi ukimuoa mke alafu baadae ukaja ukamuona sio innovative, sio msomi kama wewe nk..hapo shida ipo kwa aliyeolewa au ipo kwa wewe ulishidwa kuona mke wako ni mtu wa aina gani..Mimi nimeona wanawake ni wepesi sana wa kuadilika kama mkielezana kwa utaratibu bila kashfa...
 
Hahahaa umenichekesha sana eti kimbia ufe lol! @ Sr bachelor, Back to the topic kuna mwanaume aliwahi niambia ameachana na Mkewe kisa hakuwa Innovator anyhow! Duuuh

Ni shida kubwa nahisi ni kute kote, na ni maisha tuliyojifunza ya kulaumu zaidi kila linapotokea tatizo badala ya kulitatua...mimi huwa nawawambia washkaji ivi ukimuoa mke alafu baadae ukaja ukamuona sio innovative, sio msomi kama wewe nk..hapo shida ipo kwa aliyeolewa au ipo kwa wewe ulishidwa kuona mke wako ni mtu wa aina gani..Mimi nimeona wanawake ni wepesi sana wa kuadilika kama mkielezana kwa utaratibu bila kashfa...ila kuna watu wanakashfu wake zao sana, nakumbuka kuna mgonjwa wangu mmoja nlikua napiga nae story na kumshauri nikamwambia ukitaka umuheshimu mke wako embu fikiria usinge muoa wewe angelewa na nani..? nkamwambia unajuaje usingemuoa wewe labda angepata mtua akamuoa na kumuheshimu sana, pengine angekua na furaha zaidi...!!! and vice versa is true
 
Ndo inavokuwaga msomi akae na msomi mwenzie vinginevy umeliwa! Kuna my ex mmoja ilikuwa nikienda kwao mama yake anamuongelesha ki FRENCH! Makubwaaaaaaa! Basi nangaaaje sharubu! Mpaka nikajifunza cha kiombea maji! Japo kuongea siwezi ila wakinisema naelewa! Loooooooh! Sasa ukute mumeo anawasiliana na mchepuko wake ki English au French wewe umekaa hapo hapo! Hawasemi I love you! Ili ustuke? Thubutuuuuu! Wanasema i adore you! Hahaaaa!

hahahaha lara 1 njoo tuwasiliane ki english....lol
 
Last edited by a moderator:
Kumdharau mtu sio fresh ebu imagine huyo jamaa apelekwe NASA ci atangaa sharubu 2
 
Mwidiwee.. Namahorooo wana JF
Bado Niko najiuliza maswali juu ya wanaume wasomi hasa hasa kuanzia level ya masters, PhD hadi kule kwenye ukuta ulioandikwa elimu tena basi kwanini wengi wao wanakuwa wanatabia ya kupenda kuwadharau wake zao hasa ukikuta wamewapita kiwango cha elimu mfano mke ana diploma yake ya ualimu au digrii yake ya course ya kuchechemea.

Naongea hivi kwa experience kwa sababu nimekutana na kesi kama tatu zenye kufanana lakini hii ya nne too much.
Haya yamemkuta shosty wangu mmoja hivi mwenye degree yake ya sociology na GPA ya kuchechemea na mchuchu wake mwenye PHD ya mambo ya planning.

Sikutaka kuchukua details nyingi kwa sababu elimu yake hainisaidii wala kuniletea hela ya ugali
Back to the topic, shosty kipindi kabla hajaolewa mapenzi yamechanua kama maua ya saa nne alikuwa anajisifia kweli na mchuchu wake mara wanaume waliosoma sana waelewa sana, Mara mimi degree holder wenzangu nimpeleke wapi.

Maneno kibao kudharau waume za wenzie na kujifanya wa kwake ndio bora sana kama tunavyojua masikini akipata masaburi hulia mbwata, sie tena wenye vicertificate holder vyetu tukawa tuna zip our mouth shut tunajipa moyo maisha hayapimwi kwa wingi Wa makaratasi ya vyeti.

Basi bwana Shoga yule mwaka juzi kaolewa kwa shangwe na vigelele na sisi mashabiki kama kawa tupo mbele kumpa kampani, ndoa sasa ina miaka mitatu ndo anaona chungu ya ndoa mkaka kawa na dharau kila analoliongea mkewe sharti liwe prove intelectually with high thinking capacity, akikosea kidogo matusi najuta kukuoa kilaza mkubwa wewe degree yenyewe umeipata kwa bahati, mara mimi siwezi kukaa na kujadili maisha na watu ambao sio ma critical thinker, mara sasa utanishauri nini wewe na akili yako ndogo na maneno mengine ya maudhi.

Sasa juzi ndo ilikuwa komesha shoga kaingiza loss katika biashara ya familia ambayo mkaguzi ni Mr.

Alioona junijulai alitukanwa mpaka aliiona ardhi ngumu kuikanyaga kupooza machungu kabaki anatupigia simu mashoga zake kutupa mkasa na maneno ya najuuta kibao nikamwambia shoga vumilia ndo ndoa ilivyo vumilianeni kila mtu ana kasoro zake.

Back to my question: kwani mahusiano yanahitaji akili ya kukariri vitabu?

Kama mnaona vitabu ni mali si mngekaa single mkaendelea kukariri.

Najua wengi mko humu wenye hizo tabia acheni dharau ishini na familia zetu kwa amani, kama mkeo ana weakness mu encourage aweze vile unavyotaka kumnyanyasa kisaikolojia sio vizuri.

Unasababishia makovu moyoni ambayo inawezekana hata we huyajui.
Ni kweli wapo wa aina hiyo... LAKINI DADA MALKIA FARASI...KIMBEMBE UKUTE ZE OPOZITI SASA.... YAANI MWANAMKE NDO AWE NA HIYO PHD HALAFU MWANAUME NDO ANAISHI NA DEGREE YAKE... utashaaa na dunia... Na Mungu alivyowajaalia VOKABULARE...Mbona utajutaa....!!! Sasa mwanaume uzidiwe hivyo wakti huyo ye vika vyake vya kirafiki anakaa na aliyewahi kuwa mwenyekiti wa waliokwenda Beijing halafu naye ana elimu kama yake halafu HAJAOLEWA....
 
Hapo nadhani mume ndiye sio critical thinker alishindwa kujua mapungufu ya mkewe toka mwanzo wa mahusiano.

Huwa nafurahi kusikia mwanaume kasoma ila kaoa mdada wa diploma ila anajitambua na ana ujasiri!!!!
Yuko mmoja anafanya shirika moja la pensheni kaoa mdada alisoma secretarial tu baadae akaanza biashara zake kwa kiwa anajua mumewe ya mboga ipo huwa dada kiaina kama anamburuta towards maendeleo yaani akisikia say fremu inapangishwa humueleza tu mumewe hii naitaka kwa biashara fulani nilipie!!!!

Kuna kipindi alikuwa na safari ya Arusha sijui alitaka kwenda na mchepuko au vipi si unajua wanaume habari zetu saa nyingine tunazielewa wenyewe, kapiga simu apangiwe begi kuwa kesho anatakiwa kwenda Arusha mdada akapanga kuubwa na nguo zake ndani. Jamaa kuja anakuta mbegi huooooo anauliza mbona kubwa safari siku tatu tu!!!???? Dada akajibu simpo, hatuna mtoto wa kunyonya hapa mume wangu nimeona nikakupe kampani!!!!

Hii ndio wadada wengi wanakosea yaana wanakubali ubosi wa mume wake uje mpaka nyumbani..
 
Unajua sisi watanzania wengi, tumelelewa kwa kusolve matattizo either kwa kulalamika, KULAUMU, kushout au kupigana..tunakuwa watu ambao tunaona matatizo hasa ya kawaida kama mwisho wa kila kitu, yaani unaweza kukuta mtu na mkewe, mke anafanya makosaa ya kawaida(si makosa makubwa kama kuchepuka) ya kawaida tu lakini badala ya kukaa chini kutafuta solution mtu anapanick atamtukania mama yake, atamuita kilaza, mshenzi, ni ile tu sisi wabongo hatuna utamaduni wa kukabili matatizo strategically na kusolve rather than kulalamika na kulaumu....vitu kama hasara vipo...watu wanafilisika mabilioni bana na wanarudi ndo iwe hasara ngapi sijui....

Hapo kwenye hasara sikubaliani na ww kabisa!!!!!"!!!!!!!! hasara nyng kwny vitega uchumi vya wanandoa inatokana na upande mmoja kuchota hela kwa matumizi binafsi yasiyohusisha hicho kitega uchumi ss hapo unategemea hasara ikosekane!!!!!!!!! afu kwako unaweza kuona kufilisika ni kawaida lkn si jambo dogo ss huyo kaka kawekeza badala ya faida ni hasara hata kama ni ww utachukulia poa .................. ndoa hii haina ushirikiano wa kufanya mambo kwa pamoja
 
Hapo kwenye hasara sikubaliani na ww kabisa!!!!!"!!!!!!!! hasara nyng kwny vitega uchumi vya wanandoa inatokana na upande mmoja kuchota hela kwa matumizi binafsi yasiyohusisha hicho kitega uchumi ss hapo unategemea hasara ikosekane!!!!!!!!! afu kwako unaweza kuona kufilisika ni kawaida lkn si jambo dogo ss huyo kaka kawekeza badala ya faida ni hasara hata kama ni ww utachukulia poa .................. ndoa hii haina ushirikiano wa kufanya mambo kwa pamoja


Uko sawa kabisa tinna cute kuna watu wachoyo na wabinafsi sana sema ndio unaweza gundua wakati mko mdani yaani yeye na kwao kwanza, mwenza na watoto baadae!!!!

Kuna jamaa fighter sana akaamua kumshirikisha mkewe kwenye shughuli zake akampa section moja aendeshe sasa wakipiga hesabu hakuna hasara ila faida ndogo sana inapatikana akimuuliza bibie majibu mepesi tu basi jamaa akaendelea nae mdogomdogo mwisho hasara ikaanza taratibu akiuliza majibu mepesi tu siku anakatiza mitaa ya mama mkwe wake anakuta canter linashusha masofa na mkewe yupo anasimamia zoezi. Akasalimia tu akapita! !!!!

Siku anamuuliza vipi siku hizi hatuongei kuhusu wazazi na mahitaji yao???!!!
Mke hana majibu!!

Sasa hapo jamaa angesema ile hasara imenunua masofa angelaumiwa kweli???!!
 
Last edited by a moderator:
wapo hao! pole zake.yeye alidhani mwanaume anaongezeka ubora wake usomi unavyoongezeka kumbe sio kabisa.wala havihusiani wether direct au indirect!
 
Back
Top Bottom