Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,898
Af hawa waliokimbia upadre ndo wasumbufu balaa loh!!
Bora wewe mwenyewe umejichukulia babu mlinzi huna kero..hahahahaa! Za siku mwalimu,upooo?
Af hawa waliokimbia upadre ndo wasumbufu balaa loh!!
Bora wewe mwenyewe umejichukulia babu mlinzi huna kero..hahahahaa! Za siku mwalimu,upooo?
Kila kina na muogeleaji wake...
wakati mwenzako anakomaa kupata masters na ma-Phd wewe ulikuwa umelala??
Komaa na elimu na wewe uheshimike!
cc rafiki yako
Aise mpe pole sana, kuna watu wapo hivyo, ni selfish na insecure, yaani ni mtu kasoma lkn ana low self esteem kwa hiyo ili ajiskie vizuri na kujiamini lazima atafute mtu wa kumput dowm sasa yeye kaona ni mke, na watu wa mimi, mimi, mimi, hawafanyi effort yeyote kusaidi wanaonaga matatizo yapo kwa mtu mwingine, hata kitandani wakiunder perform ni rahisi kusema mwanamke ndo anasababisha ila wao hawana kasoro..Yaani kama uliingia mdomoni kwa huyo mkaka uka copy na kupaste.... Yaan anajiona yeye ndo muhimili wa Shoga angu mie bila yeye nyumba itaanguka.. Inafika stage anamwambia shukuru mungu umezaa na intellect kizazi chako kitakuwa na watoto wanaojielewaa ungezaa na vilaza wenzio ungetoa waokota makopo.. Mmh kweli is it fair??
Dada mimi naona waaume wasomi ni kweli baadhi wanahayo matatizo.Kuna vitu viwili ukivipata kwa pamoja halafu ukawa huna imani juu ya mungu lazima itokee kama huyo jamaa.Mtu aliyejaaliwa elimu na wakati huohuo mungu akamjaalia hela asipokuwa makini katika kumkumbuka mungu na kujua kuwa huo ni mtihani kwake lazima tu atakuwa mjeuri na kiburi.Mm huyo mjamaa sidhani kama hata msikitini au kanisani anaenda kweli.Maana anaonesha hamjui mungu kuwa anawezakumshusha aliyejuu na kumpandisha aliyechini.Kwanza suala la gubu ni shani ambayo mungu hakunijaalia nayo kwa kuwa naridhika na nilichonacho na sina mda Wa kumuonea mtu kijicho..don judge me behind my writings...pia sifurahii Matatizo ya mwenzangu dats y nilimwambia avumilie ndan ya ndoa yakimkifu ashirikishe familia labda wanaweza kumsaidia.. Cz hata mi Nina yangu najua changamoto ni nyingi..ntafurahije msiba Wa jirani wakati Israel hana ndugu. .
Aise pole, wakati mwingine watu kama hao ni malezi deep inside unakuta mtu anashida ya self esteem issue, ndo maana unakuta akiput down watu wengine hasa mke na watoto inasaidia kum-boost yeye, na ukiwa na mtu kama huyo ni bahati mbaya, na dalili huonekana hawa ni wale watu ukidate nao mkiwa kwenye mazungumzo anakua anajizungumzia yeye tu, shule nlikua hivi na hivi, chuo mimi ndo nlikua hivi na hivi, mimi najua kutafuta pesa bana, yaani ni me, me, me , me, hawezi hata kukuuliza vp unasemaje au kwenu hawajambo ni hatari, huwezi kuishi maaisha ya raha na mtu ka huyu..Yaani we acha hapa nilipo me mwenyewe natamani nikimbie nifeee....
Wahivi wapooooo
Eti intelectual, unaweza kuta na intelectual yake hata DUDU haisimami, basi hasira zote zinaishia kumtukana binti wa watu. Mwanaume rijali humthamini mke wake na si kuleta darasa Nyumbani! hawa ndo wale wake zao wanadungwa na ma Houseboy sababu ya ujinga wa Mme
Hebu kwanza twende trtibu, kwo huyo jamaa ni wapi, ni kule tunaendaga kwa kuvuka maji baridi?!! maana msikae mnasingizia watu wenye elimu za juu kwa sample ya wajinga wawili! btw, hivi kwa nini wanawake wengi wenye elimu kubwa wameolewa na kuachika?..na wengine wameachika kimyakimya bado wanatumia majina ya waume zao?!
Wanawake wasomi je?
Mkuu yani huyo ni nshomire aisee maaana hayo maneno ya kule kabisa kuvuka maji baridi ambapo siku hizi wanatumia sana mabasi kwenda hao nshomire ni zaidi ya shida
Hebu kwanza twende trtibu, kwo huyo jamaa ni wapi, ni kule tunaendaga kwa kuvuka maji baridi?!! maana msikae mnasingizia watu wenye elimu za juu kwa sample ya wajinga wawili! btw, hivi kwa nini wanawake wengi wenye elimu kubwa wameolewa na kuachika?..na wengine wameachika kimyakimya bado wanatumia majina ya waume zao?!
Mimi nahisi nyuma ya pazia kuna kitu. Either huyo dada Kuna kitu aliharibu, na mwanzo wa kudhsrauliwa au huyo PHD holder ameruka ukuta, kuna sehemu anapooza na ndo kuanza kumdharau mwenzake.
Hiyo ya kudharau kwa sababu ya tofauti za kielimu ni kujikweza tu hamna lolote.
Ndo maana nikaamua kuolewa na asiyesoma kabisa,tabu za kudharauliana za nini!!
Queen Horse umenipasua pwaaaaa......
Kumbe rafiki yako kaja kukuambia yoote? Leo atanitambua na tabia yake ya kuanika mambo ya ndani..... Hivi vyuo vya katavinatuharibia wanawake..