Jamani wanaume wasomi mna nini?

Jamani wanaume wasomi mna nini?

WORD! Nyumbani unakuwa Baba Vitoto vinakurukia kurukia vinakupaka mikojo, Vinakuvuta tai, mwenye kukuvua viatu haya wewe unachekacheka tu nyumba inajaa vicheko , Ukiingia chumbani Mama naye achezee sosage zako wewe unasikilizia tu , unawapa Familia Muda na wewe , usomi wako unauwacha nje ya ofisi yako huko , sio Baba Mkaliiii Watoto wanakuogopa Balaa ukifika na Laptop umenuna unaendelea na Planning/ Swot analysis nyumbani aku! Kwendraaaa na shule yako Babu we
Kuna shekhe mmoja aliongea kuhusu namna ya kumtunza na kumuheshimu mwanamke..akasema kuna watu wengine wanajidai busy mno mafaili, malaptop mpaka kitandani chumbani..hapo lazima house boy amege mbaya
 
Maisha haya yana tabu sana hasa mambo ya kushirikiana,,,,,
Hii tabia inanichukiza sana ya mwanamke kuchukua pesa bila taarifa kuendeleza kwao ndo mana wanaume wengi wasiri unakuta ana biashara mke hajui!!!
Acha tu unaficha lakini ukifikiria haya maisha na vifo unaona bora umshirikishe ili japo ukiwahi mbele za haki yeye aweze kisimama dede watoto wasome na kama hayo ndio linakuja suala la kushirikiana hapo!!!

Sasa ukiwa na juha ye anakufelisha kabisa badala ya kuongeza nguvu jahazi lisonge!!
Na inakatisha tamaa sana unapojua mko wawili kumbe mwenzio mawazo yako kwao hapo yuko kiuno ma tumbo tu!!!!
 
WORD! Nyumbani unakuwa Baba Vitoto vinakurukia kurukia vinakupaka mikojo, Vinakuvuta tai, mwenye kukuvua viatu haya wewe unachekacheka tu nyumba inajaa vicheko , Ukiingia chumbani Mama naye achezee sosage zako wewe unasikilizia tu , unawapa Familia Muda na wewe , usomi wako unauwacha nje ya ofisi yako huko , sio Baba Mkaliiii Watoto wanakuogopa Balaa ukifika na Laptop umenuna unaendelea na Planning/ Swot analysis nyumbani aku! Kwendraaaa na shule yako Babu we

There is always a way to make your family happy, including what you have said
 
Mimi sikatai..ila nlichangia kutokana na uzi ulivyo..kwamba jamaa anamtukana na kumkashifu mkewe kwa sababu ya hasara..kupachimba lazima pachimbike kama hasara ikitokea..ila panachimbikaje ndo shida..huwezi kumfundisha mke kwa kumtukana na kashfa..huwezi kumfundisha mke kwa kumwambia nisingekuoa ungeolewa na mwingine ungezaa watoto wenye mtindio wa ubongo..na si kwenye ndoa tu..sisi tuna shida kubwa sana ya namna ya kutatua matatizo mbali mbali ya kijamii..ndo maana jamii yetu imefika ilipofika na kukwama kwenye matope..mm naamini wasomi hasa kwenye ndoa they must talk and argue not to shout.

Usemacho ni kweli,,,,,, me huyo jamaa simlaumu japo mi ni mwanamke pia but kuna wanawake mizigo ndani ya ndoa mpk hua najiuliza wametokea sayari gani dunia hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
after all hio kesi wataimaliza wanandoa kwa kununuliana ruby ,, boxer na mpya mechi ya gafla yenye makombora hatari nyuklia haifikii while wakiacha kusolve tatizo........... hapo mzimu wa umaskini lazima uendelee kututafuna africa
 
Acha tu unaficha lakini ukifikiria haya maisha na vifo unaona bora umshirikishe ili japo ukiwahi mbele za haki yeye aweze kisimama dede watoto wasome na kama hayo ndio linakuja suala la kushirikiana hapo!!!

Sasa ukiwa na juha ye anakufelisha kabisa badala ya kuongeza nguvu jahazi lisonge!!
Na inakatisha tamaa sana unapojua mko wawili kumbe mwenzio mawazo yako kwao hapo yuko kiuno ma tumbo tu!!!!

Hapo ni busara na maombi tu ndo vitasaidia.......... ndio maana baba angu anasisitiza sana kigezo cha family status ya muoaji/muolewaji hii inakuepusha kdg kutegemewa na ukoo mzima ww ndo ubadilishe uchumi wa ukoo....
 
Kwa hiyo unataka ushauri gani kwa huo umbea wenu!?

Nadhani mambo yenu ya ushosti malizieni huko huko.
 
Usemacho ni kweli,,,,,, me huyo jamaa simlaumu japo mi ni mwanamke pia but kuna wanawake mizigo ndani ya ndoa mpk hua najiuliza wametokea sayari gani dunia hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
after all hio kesi wataimaliza wanandoa kwa kununuliana ruby ,, boxer na mpya mechi ya gafla yenye makombora hatari nyuklia haifikii while wakiacha kusolve tatizo........... hapo mzimu wa umaskini lazima uendelee kututafuna africa
Umaskini Africa au hata kwenye familia utamalizwa kwa maarifa, bidii, maelewano(kueleweshana) na ujasiri...si kwa kutukanana na kupigana..
 
Jamaa kakosea sana ila alikosea zaidi na zaidi katika kuoa. Kimisingi huyo bwana anapata tabu sana kuishi na mtu ambaye intellectually yuko chini sana kulinganisha na yeye. Kwa mfano katika hali ya kawaida tu unaweza kuacha kujadiliana na mtu kwa kugundua kwamba uwezo wake wa kuchambua mambo ni mdogo au saa nyingine unaweza kuvumilia na kujaribu kujiweka katika level ya huyo mtu. Sasa fikiria kama unapaswa kufanya hivyo kila siku na mtu huyo huyo!!! Ni wazi baada ya kujitahidi kwa miaka 3 kuna mahali itafika lazima ushindwe.

Hii mara nyingi inatokea kwa sababu mwanzo mwanaume anaweza kugubikwa na mapenzi moto moto na pia wanakuwa hawapati muda wa kukaa pamoja kwa muda mrefu. Zaidi mume anaweza kutegemea mke atakua kiakili na kimaarifa lakini kwa bahati mbaya inaweza isiwe hivyo kwa kuwa watu tunatofautiana uwezo. Kuna wengine hata ufanye vipi hawawezi kufika kiwango anachotamani mume. Sasa ukute mume anataka kujadili kuhusu uchumi wa Uingereza, Marekani, Tanzania na Brazil hapo anakuja na habari za GDP, PPP, per capita, FDI na habari za sekta za dhahabu, wese na wenzao, ukigeuka kidogo anataka kuzungumzia import/export tax, custom duties na visa issues. Hujakaa sawa anataka kuongelea U.S foreign policy in the middle east. Kabla hujajikuna vizuri anakuletea habari za investment and planning ukichanganya na expanding and dreaming big. Sasa kama ndoto zako ni kuishi kwenye nyumba ya vyumba vitatu na gari ya kutembelea lazima mambo yatakuzidi kimo sana. Na ukichanganya na tabia ya watz wengi tulivyo wavivu wa kujifunza mambo mapya ndio kabisa lazima uchemshe. Ndo hapo sasa mume anakuona kilaza bab kubwa. Lazima nyumba uione chungu.

Ila hata hivyo mimi huwa naona watu wanalazimisha mambo. Kuna siku niliwahi kusema maisha yanaweza kuwa magumu sana kama badala ya kutafuta mke unatafuta business partner. Inapofikia mahali huyo mke akashindwa kuwa business partner inakuwa shida kubwa sana.

Inabidi ifike mahali watu kama huyo jamaa inabidi wajue kuwa mke ni mke tu. Kuna majukumu yake kama mke kama anayaweza hayo basi inatosha. Ikitokea akaweza kusimamia na mambo mengine nje ya yale ya msingi na wajibu basi ni vizuri lakini kama hawezi basi si budi kumlazimisha asichokiweza.

Well said mkuu ni knowledge juu ya knowledge nimeipeda hii
 
Hapo ni busara na maombi tu ndo vitasaidia.......... ndio maana baba angu anasisitiza sana kigezo cha family status ya muoaji/muolewaji hii inakuepusha kdg kutegemewa na ukoo mzima ww ndo ubadilishe uchumi wa ukoo....
Aaaanh babako naye anafanya maisha ya vijana kuwa magumu kiasi fulani!!!!!
 
Dharau zipo tu! Ni tabia ya mtu nina mchumba ana certificate mi ninachukua degree lkn hv ninatype hapa amenivuruga nikituma mesej sijibiwi nikipiga simu anasikiliza kama anamsikiliza Millard wa 88.4 Couds FM Dar, kama elimu ndo inatia kibur bas nimepata wazo la kwewnda kuchukua std 7 kwa village tu sasa maana wa mjini atajiona ndege town.
 
Huyo Dada anavuna alichopanda....alipanda dharau ya elimu za wame wa wenzie.....sasa anavuna mavuno ya elimu ya mumewe ambae hajaelimika ila kasoma.

Kama sijaeleweka nipo tayari kurudia.
 
Mwidiwee.. Namahorooo wana JF
Bado Niko najiuliza maswali juu ya wanaume wasomi hasa hasa kuanzia level ya masters, PhD hadi kule kwenye ukuta ulioandikwa elimu tena basi kwanini wengi wao wanakuwa wanatabia ya kupenda kuwadharau wake zao hasa ukikuta wamewapita kiwango cha elimu mfano mke ana diploma yake ya ualimu au digrii yake ya course ya kuchechemea.

Naongea hivi kwa experience kwa sababu nimekutana na kesi kama tatu zenye kufanana lakini hii ya nne too much.
Haya yamemkuta shosty wangu mmoja hivi mwenye degree yake ya sociology na GPA ya kuchechemea na mchuchu wake mwenye PHD ya mambo ya planning.

Sikutaka kuchukua details nyingi kwa sababu elimu yake hainisaidii wala kuniletea hela ya ugali
Back to the topic, shosty kipindi kabla hajaolewa mapenzi yamechanua kama maua ya saa nne alikuwa anajisifia kweli na mchuchu wake mara wanaume waliosoma sana waelewa sana, Mara mimi degree holder wenzangu nimpeleke wapi.

Maneno kibao kudharau waume za wenzie na kujifanya wa kwake ndio bora sana kama tunavyojua masikini akipata masaburi hulia mbwata, sie tena wenye vicertificate holder vyetu tukawa tuna zip our mouth shut tunajipa moyo maisha hayapimwi kwa wingi Wa makaratasi ya vyeti.

Basi bwana Shoga yule mwaka juzi kaolewa kwa shangwe na vigelele na sisi mashabiki kama kawa tupo mbele kumpa kampani, ndoa sasa ina miaka mitatu ndo anaona chungu ya ndoa mkaka kawa na dharau kila analoliongea mkewe sharti liwe prove intelectually with high thinking capacity, akikosea kidogo matusi najuta kukuoa kilaza mkubwa wewe degree yenyewe umeipata kwa bahati, mara mimi siwezi kukaa na kujadili maisha na watu ambao sio ma critical thinker, mara sasa utanishauri nini wewe na akili yako ndogo na maneno mengine ya maudhi.

Sasa juzi ndo ilikuwa komesha shoga kaingiza loss katika biashara ya familia ambayo mkaguzi ni Mr.

Alioona junijulai alitukanwa mpaka aliiona ardhi ngumu kuikanyaga kupooza machungu kabaki anatupigia simu mashoga zake kutupa mkasa na maneno ya najuuta kibao nikamwambia shoga vumilia ndo ndoa ilivyo vumilianeni kila mtu ana kasoro zake.

Back to my question: kwani mahusiano yanahitaji akili ya kukariri vitabu?

Kama mnaona vitabu ni mali si mngekaa single mkaendelea kukariri.

Najua wengi mko humu wenye hizo tabia acheni dharau ishini na familia zetu kwa amani, kama mkeo ana weakness mu encourage aweze vile unavyotaka kumnyanyasa kisaikolojia sio vizuri.

Unasababishia makovu moyoni ambayo inawezekana hata we huyajui.

Mwambie huyo rafiki yako ajifunze "DHARAU". Mbna case ndogo sana hyo. There is a way she shud re-act (sijui nimweleze vp) ila kuna namna ya kudharau ikiwemo using tha power of silence. Utakuja kuniambia. Jamaa atajiona fal* / mseng* ye mwenyewe.
Akionyesha kuumizwa na kuwa affected na maneno yake, jamaa ndio atavimba bichwa na kuzidi kumgandamiza. Seriously hii tabia naichukia sana. Mwanamke hatukanwi wala hapigwi bwana. Zipo namna za kumtuliza mwanamke na kumfunza. We ngoja waje mgegeda mkewe ndio atazinduka.
 
Nadhani ni tabia tu ya huyo jamaa... wala sio PhD yake...
 
Naona wengi wamemkomalia jamaa..sina maana hana makosa la hasha,ila kuna sehemu pia ya huyo mwanamke ambayo haiko sawa..
 
Naona wengi wamemkomalia jamaa..sina maana hana makosa la hasha,ila kuna sehemu pia ya huyo mwanamke ambayo haiko sawa..

Kimsingi dada anapata malipo yake hapa hapa duniani,kwa sababu inaonesha ni mtu jeuri,malingo na kiburi.Mungu kaamua kumlipa hapahapa duniani.Mi cmulaumu huyo PhD holder.
 
Back
Top Bottom