kuna wakina dada wanabahati mbaya wanakutana na wanaume ambao 'selfish' hiyo ni shida mnao...yaani mtu mimi, mimi, hela zangu, mimi nimesoma, magari yangu, mimi utaniambia nini nimesoma..ukidate na mtu wa mmimi, mimi, mimi,mimi kimbia ufe...
Umesema yaani bora uzeeke peke yako kwenye chumba chako kimoja , utakuwa na Amani kuliko hao wanaume wa hivyo
kila usemacho akili yako ndogo niko busy na deal zangu zinazomake sense ! ohoo ile gari yangu ream yake imenenepa , ohoo Account yangu wameifunga wanaichunguza inapesa nyingi wakati hata buku hatoi !