Jamani wafundisheni wanawake kuoga

Jamani wafundisheni wanawake kuoga

Sio wanawake tu hata wanaume ni mule mule, pia inategemean na uyo mwanamke umekutana nae mazingira yapi, unakuta mtu kashinda juani kutwa nzima anafanya kazi za vibarua, jua na mvua vyote vyake alf wew umekutana nae jion mda anaorudi nyumban akajifanyie usafi wa mwili ndo uanze kuwateta,, bladi ful
 
Hata wanaume aiseh unakutwa mtu mchafu, kope na nyusi zimejaa ukoko.
Alafu ety anategemea amuombe pisi kali namba ampatie, mtaishia kusema mmerogwa.
Jamani tujipende.
Wanawake wengine wakivua chupi tu harufu ya kisamaki, ukimpiga mbuzi kagoma ni harufu ya puru. Unakuta mtoto wa kike ana jasho kwapani. Jamani mjipende
 
Wanawake wengine wakivua chupi tu harufu ya kisamaki, ukimpiga mbuzi kagoma ni harufu ya puru. Unakuta mtoto wa kike ana jasho kwapani. Jamani mjipende
Mjipende sana watoto wa kiume boxer mnavaa week nzima, masikio yamejaa uchafu, alafu matako yamejaa vipele vya uchafu na kutokupakwa mafuta😂😂😂😂😂😜😜😜😜
 
Mjipende sana watoto wa kiume boxer mnavaa week nzima, masikio yamejaa uchafu, alafu matako yamejaa vipele vya uchafu na kutokupakwa mafuta😂😂😂😂😂😜😜😜😜
Mfue hizo chupi zenu sio mwanamke anavua kichupi chake kina alama za mavi na jasho, ukitaka kufyonza K unakuta inatema cha kusikitisha wengine vinuka mdomo. Usafi ni haiba ya mwanamke
 
Umeandika kwa hisia sana master. Tuwaone huruma ila watenge muda na gharama kidogo kama maji na sabuni kwa ajili ya usafi wa mwili.

Kabla hawajatoka wahakikishe wameweka mwili safi na wakirudi majumbani hivo hivo.
Tatizo stiresss zao.....
Kweli kabisa mkuu 💯✔️
 
Habari,

Nakereka sana unakuta mtu unapishana na mwanamke ananuka jasho siyo kawaida, mtu ananuka kikwapa, harufu ya mikojo, ananuka nyapu, na harufu ya uvundo wa nywele pamoja na nguo zake.

Ukimuangalia miguuni na panapo kipochi manyoya ndiyo unachoka kabisa.

Mwingine anapuliza pafyum juu ya mwili mchafu na nguo alizorudia kuzivaa zenye majasho, mwingine anavaa nguo safi juu ya mwili mchafu na bado ananuka ila anajiona kang'aa, mnatupa shida sana sisi wanaume.

Mbaya zaidi apande daladala halafu asimame mbele yako huku wewe umekaa ndiyo utajua hujui.

Hata kama mwanamke ni choka mbaya epuka kutoa harufu ya uvundo.

NB: Kuwa msafi tuu, mwanamke msafi ni fahari ya mwanaume.
Sio kuoga, ni kusafisha mashine.
 
Habari,

Nakereka sana unakuta mtu unapishana na mwanamke ananuka jasho siyo kawaida, mtu ananuka kikwapa, harufu ya mikojo, ananuka nyapu, na harufu ya uvundo wa nywele pamoja na nguo zake.

Ukimuangalia miguuni na panapo kipochi manyoya ndiyo unachoka kabisa.

Mwingine anapuliza pafyum juu ya mwili mchafu na nguo alizorudia kuzivaa zenye majasho, mwingine anavaa nguo safi juu ya mwili mchafu na bado ananuka ila anajiona kang'aa, mnatupa shida sana sisi wanaume.

Mbaya zaidi apande daladala halafu asimame mbele yako huku wewe umekaa ndiyo utajua hujui.

Hata kama mwanamke ni choka mbaya epuka kutoa harufu ya uvundo.

NB: Kuwa msafi tuu, mwanamke msafi ni fahari ya mwanaume.
MAJI HAKUNA KWAO@timu Malela
 
Back
Top Bottom