mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 2,104
- 3,447
,š¤£alafu ile ya uvundolismkuna wahuni wananuka beberu sio poa aisee
,š¤£alafu ile ya uvundolismkuna wahuni wananuka beberu sio poa aisee
dah𤣠ajali kaziniKwamba umeona aibu mzee?š¤£š¤£
Wala, mimi ndio amri jeshišLabda kama kuna anayepewa madaraka ya kutoa kila maraš¤£š¤£š¤£
Usisubiri kuzeeka ndio uanze kuzama, ujana unaenda na mengi mkuu!!dah𤣠ajali kazini
Mkuu wewe ushatuacha hatua kadhaa mpaka hapo inaonesha huna kinyaa na kitu chochote ata panya unaweza kula Yani hata yule mwanamke mwenye sura ya baba ukikaa naye faragha gear inaumuka automatiki , maana kuna wenye sura za babu unaona hapa hata anivulie nitamwangalia kama naangalia TV tušMkuu, chini ya jua kila kitu kinawezekanaš¤£š¤£š¤£ kwani kuna umbali gani kati ya hivyo viwili...? Mzuka ukiwepo hakuna kinachoshindikana..
Zoezi gumu sana lile, kwa sie wavivu ni mwendo wa amazon forest tu!Wala, mimi ndio amri jeshiš
Kwamba kuzama uvinza kunakupa kinyaa mkuu? Kama unakutana na pisi mbovu lazima uwe na kinyaa!Mkuu wewe ushatuacha hatua kadhaa mpaka hapo inaonesha huna kinyaa na kitu chochote ata panya unaweza kula
Woii pole, mimi napiga upara kote yaani sina huruma. Hivi na hali ya hewa ya Dar ukae na huo upuuzi si itakuwa balaa, utaloa jasho mpaka ukome.Zoezi gumu sana lile, kwa sie wavivu ni mwendo wa amazon forest tu!
Kwamba ukizidi kwa mbaali mtu anaweza akahisi mustachi ya muhindi mdomo umeziba au sioWoii pole, mimi napiga upara kote yaani sina huruma. Hivi na hali ya hewa ya Dar ukae na huo upuuzi si itakuwa balaa, utaloa jasho mpaka ukome.
Kwamba ukizidi kwa mbaali mtu anaweza akahisi mustachi ya muhindi mdomo umeziba au sio
Yeah kuna watu wanatoa mijasho sana, mimi mkavu kama mpingo mwili hautoi jasho ovyo.Woii pole, mimi napiga upara kote yaani sina huruma. Hivi na hali ya hewa ya Dar ukae na huo upuuzi si itakuwa balaa, utaloa jasho mpaka ukome.
Hiyo umenena mkuu sometimes unaweza kutana na mtu na mizuka yako Ile unazama chumvini unakutana na mchacho huo na mudi inakata hapo hapo .....
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Usikae na nywele hizo hazitakiwi sanaš ndio maana zikaitwa pubic hairYeah kuna watu wanatoa mijasho sana, mimi mkavu kama mpingo mwili hautoi jasho ovyo.
Ebu picha tuoneWoii pole, mimi napiga upara kote yaani sina huruma. Hivi na hali ya hewa ya Dar ukae na huo upuuzi si itakuwa balaa, utaloa jasho mpaka ukome.
Tumalizane lile jambo kwanza mkuuš¤£Usikae na nywele hizo hazitakiwi sanaš ndio maana zikaitwa pubic hair
za kule nanilii tunaziacha kidogo panapendezašUsikae na nywele hizo hazitakiwi sanaš ndio maana zikaitwa pubic hair
š¤£š¤£š¤£ hujanipa majibu kama nikupe namba ya muamalaTumalizane lile jambo kwanza mkuuš¤£
Eeeh lete mkuu, ila tusimwage mchele mkuu š¤£š¤£š¤£š¤£ hujanipa majibu kama nikupe namba ya muamala
Kule?? Labda wewe ila mimi nasawazisha zote yaani zotee. Najipenda sana ndio maana najitahidi kuwa msafi aisee, wanaume siku hizi mnatusema sana wanawake. Sasa usipokuwa msafi si balaa hilo.za kule nanilii tunaziacha kidogo panapendezaš