Ndugu waonee huruma hao wanawake baadhi yao huamka saa 9 usiku anawahi sokoni buguruni kununua matunda saa 2 asubuhi anaanza kuranda mitaa kutafuta wateja mpaka jioni akirudi kwake jioni anaanza kuwahudumia watoto na mme wake unaweza kuta Ni dereva wa daladala ,mme anarudi home choka mbaya hata kugundua mkewe hajaoga kutwa anashindwa .
Huyo mwanamke atalala masaa machache saa 9 anaamka tena mume nae anamka nae saa 9 kuwahi kazini kwake kuamsha daladala yake .
Wadada kama hawa Mimi nikutana nao hasa hao ma hustler nawaheshimu sana ,lakoni kwa wadada wanaodanga halafu unamkuta mchafu ananuka hao hawasiki na mada yangu hao mwili mtaji watajijua na hali zao