oyaa kuwa na heshima😂Mjipende sana watoto wa kiume boxer mnavaa week nzima, masikio yamejaa uchafu, alafu matako yamejaa vipele vya uchafu na kutokupakwa mafuta😂😂😂😂😂😜😜😜😜
nyie ndo mnataka mlambweNa wewe kwa nini ulambe kusiko lambwa ukikuta chumvi imezidi unawakumlaumu?
😂😂😂
suala mtambukaDuuuuh!🙆
Hao wengi wao ni wagalatia. Wale wengine maadili ya dini yanawabana usafi wa mwili kila wakati ila kwa wagalatia ni balaa unakuta pisikali imenyooka ila ndovile tenaHabari,
Nakereka sana unakuta mtu unapishana na mwanamke ananuka jasho siyo kawaida, mtu ananuka kikwapa, harufu ya mikojo, ananuka nyapu, na harufu ya uvundo wa nywele pamoja na nguo zake.
Ukimuangalia miguuni na panapo kipochi manyoya ndiyo unachoka kabisa.
Mwingine anapuliza pafyum juu ya mwili mchafu na nguo alizorudia kuzivaa zenye majasho, mwingine anavaa nguo safi juu ya mwili mchafu na bado ananuka ila anajiona kang'aa, mnatupa shida sana sisi wanaume.
Mbaya zaidi apande daladala halafu asimame mbele yako huku wewe umekaa ndiyo utajua hujui.
Hata kama mwanamke ni choka mbaya epuka kutoa harufu ya uvundo.
NB: Kuwa msafi tuu, mwanamke msafi ni fahari ya mwanaume.
🤣🤣🤣🤣Hakika hili ni mtambukasuala mtambuka
puru ndio kitu ganiWanawake wengine wakivua chupi tu harufu ya kisamaki, ukimpiga mbuzi kagoma ni harufu ya puru. Unakuta mtoto wa kike ana jasho kwapani. Jamani mjipende
Wewe ushaona wapi.nyie ndo mnataka mlambwe
Weeeeh thubutu.oyaa kuwa na heshima😂
wakati hapo kimoyo moyo unapenda🤣Wewe ushaona wapi.
Mtakuja kupata na homa za ini shauri enu
Najali afya ya shemeji ako na yangu😂😂😂wakati hapo kimoyo moyo unapenda🤣
Ogeni acheni nyenyenyeHuyu kila siku mwanamke this mwanMke that...hajielewi..
🤣🤣🤣 kuna wengine magadi yamezidi ukifyonza tu unaacha hapohapoNa wewe kwa nini ulambe kusiko lambwa ukikuta chumvi imezidi unawakumlaumu?
😂😂😂
😂😂😂Poleni sana😂😂😂🤣🤣🤣 kuna wengine magadi yamezidi ukifyonza tu unaacha hapohapo
Hao wanawake wa Buza, Tandale na Manzese watakuumiza kichwa mkuu. Hamia Masaki au Osterbay.Habari,
Nakereka sana unakuta mtu unapishana na mwanamke ananuka jasho siyo kawaida, mtu ananuka kikwapa, harufu ya mikojo, ananuka nyapu, na harufu ya uvundo wa nywele pamoja na nguo zake.
Ukimuangalia miguuni na panapo kipochi manyoya ndiyo unachoka kabisa.
Mwingine anapuliza pafyum juu ya mwili mchafu na nguo alizorudia kuzivaa zenye majasho, mwingine anavaa nguo safi juu ya mwili mchafu na bado ananuka ila anajiona kang'aa, mnatupa shida sana sisi wanaume.
Mbaya zaidi apande daladala halafu asimame mbele yako huku wewe umekaa ndiyo utajua hujui.
Hata kama mwanamke ni choka mbaya epuka kutoa harufu ya uvundo.
NB: Kuwa msafi tuu, mwanamke msafi ni fahari ya mwanaume.