Dah, huwa nakerekwa sana pale Shaa anaposema "ninapokuwa katika siku zangu", kwanza huwa naona kinyaa, pili wakati mwingine ndio hivyo tupo sebuleni tunaangalia taarifa ya habari yaani siangalii habari ya 2usiku Kupitia TBC kama kunamchanganyiko wa kifamilia.
Kuna siku mwanao atauliza dady/mummy siku zake ndo zipi au ile kitu ile inawekwa wapi mbele ya wageni