Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Hapana usiseme ivo,sikutarajia kama itakuja kuwa ivyo,kwani mala ya kwanza alinitamkia mwenyewe kwamba mwaka huu lazima ataenda kwetu before mwaka haujaisha.Yani natamani Mungu anichukue kwani naiyona dunia chungu sana.Nakili nimekosa sana na sikupenda kukosea katika maisha yangu.Naumia sana kwa kweli.
kulia haisaidi zaidi utakuwa unajiumiza wala swala la kutaka kufa sio suluhisho sahihi umeanguka nyanyuka futa vumbi anza safari upya