G3T
JF-Expert Member
- May 21, 2013
- 816
- 400
- Thread starter
- #61
Umeshapata nae mtoto?Na kama bado unasubiri nini hapo kwa huyo mtu,huoni hutakiwi?Na ninavyojua kwa sisi wanaume ukikaa muda mrefu na mwanamke bila kumuoa na ukishajua mapungufu yake huwa ni ngumu sana kumuoa hapo baadae,na bora jamaa kakueleza hivyo kuliko angekuoa kwa sababau eti mmekaa pamoja muda mrefu,huwa ndoa hailazimishwi na haifungwi kwa kuoneana huruma.Acha nature iamue.
asante DCM,Ila jua kwamba sijawahi kumlazimishi anioe,ila neno moja tu afunge safari hadi Zanzibar akawaone wazee na kuwaambia kwamba naishi na mtoto wenu mkoani.Kuishi na mtoto wa mtu alafu wazazi wake hawajui hiyo ni laana kubwa hata Allaa hapendi,ila mie namtakia heri na Mola amzidishie kwa mabaya yake na majibu yake machungu. acha niludi kwetu najua ntauza hata Samaki ili maisha yaende.