kaswalala
Member
- Mar 13, 2013
- 42
- 8
Da! pole dada yangu kwani kidonda cha mapenzi huwa kinauma sana kuliko kidonda cha moto, nachoweza kukushauri ni kujitambua kuwa utu wako unathamani kiliko huyo mwanaume, kama amesema hakutaki basi usipoteze mda sana kwake wewe fanya hivi, achana nae endelea na shughuli zako ipo siku mungu atakuajalia kazi ya kipato kikubwa kulingana na elimu yako, pia tambua kuwa kunawanaume na kuna magumegume huyo hana msimamo, mimi nimekaa na mchumba kwa miaka mitano sasa na kila mtu anaishi kwake nilipenda kufunga ndoa mapema ila shule ndio inachelewesha mchakato, Mungu akipenda mwakani namaliza kila kitu chuo na ndoa, mahusiano hudumishwa na uaminifu ambao ni tunda la upendo, huyo bwana hajakupenda, ataendelea kukuumiza sana kama mtazidi kuwa wote. Imenigusa sana kwani najua nini maana ya kupenda. kwani unawatoto wangapi uluozaa nae?