kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,636
- 2,880
Pole sana mdogo wangu,hakuna ushauri tutakaokupa utakaoweza kubadili kauli za huyo Bf wako,cha msingi unatakiwa uelewe life must go on bila ata ya huyo mwanaume,usiseme huwezi cuz hujazaliwa nae,umekutana nae ukubwani tu hivyo asikubabaishe wala kukupa ugonjwa wa moyo bure,watu wanafiwa na wazazi wao waliowapenda na kuwathamini lakini wanasahau itakua huyo Bf?jipe moyo na utashinda,achana nae though mwanzoni utaumia sana ila time will heal all the pains.