gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 293
- Thread starter
- #21
ningekutafuta mkuu ila ratiba imebana nusu ofisi nusu familia labda nikiponyoka.....
Muda huu.. Ofisii au familia?! Yaani taim hii..
ningekutafuta mkuu ila ratiba imebana nusu ofisi nusu familia labda nikiponyoka.....
Jamani mbona mnaloga mapokezi yanguu?
Haya bierre kwa mfuko wa nanii?!
Alaaaa.... Sasa,mi naona M'nyamala A pananihusu babu..
Vigezo na masharti kuzingatiwa ,karibu dar mkuu
Pale panahusu kwenye white party. Kumshukuru Mungu kama tutaingia mwaka 2013 na bia zetu bila madeni.
Stay tuned!
pole kwa safari natumai ushafika mkuu. Vipi gamba lako halijachoka sana?
Ni baada ya miezi mitatu hivi, natokea Mtwara.
Ndiyo tumemaliza kipande kichafu cha tope.. Somanga-Muhoro..
Najipigia hesabu kama naweza kujituliza Leo Tupo Hapa Pub,au vipi...
By Gee Cee
Karibu njoo hapa mlimani city nimekuchukulia room annexlodge chumba namba namba 2 nimeshakulipia ya wiki nzima ulizia boking kwa jina la amu.
Kwani huku unakaa mda gani???
Ningekufata ulipo tatizo ni kuna kimvua na mie usafiri wangu bajaj.
So we njoo tu moja kwa moja
Hivi unajua navokumisi lakini?
Utanisaidiaje sasa kuimaliza hii hamu yako?
Karibu njoo hapa mlimani city nimekuchukulia room annexlodge chumba namba namba 2 nimeshakulipia ya wiki nzima ulizia boking kwa jina la amu.
Kwani huku unakaa mda gani???
Ningekufata ulipo tatizo ni kuna kimvua na mie usafiri wangu bajaj.
So we njoo tu moja kwa moja
Hiyo mvua inanyesha wapi wewe? Mbona mnakua waongo hadi dhambi?
Karibu Dar gambachovu
Mi nakuangalia tu.......!
Na haitakuwa giza? Maana mifoleni ya bongo bana... Mara mabasi yaendayo kasi, mara yaendayo haraka,ah mkuu.. Au nitue mizigo yangu Zakhem palee?