amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,298
magari ya huko yanaishia tandika. ukishindwa kushuka zakhem ntakusubiria pale sudan. mia
mzee wa mia nipo dar hii sijui wewe ulijificha pale leo tupo hapa hukujapo
magari ya huko yanaishia tandika. ukishindwa kushuka zakhem ntakusubiria pale sudan. mia
wewe wa kuja kweli hujui mvua za dar au???mfano manzese inanyesha sinza au uubungo ukipita umelowa wanakushangaa....
Kha ulikuja dar na bus gani wewe?
Hapa nlipo mvua ndo imekatika
Uko Kinyerezi? Maana mi ndo nafika home sasa hivi nikitokea Kurasini na nimepitia Kkoo, Jangwani, Migomigo, Manzese, K'ndoni, M'Nyamala, Sinza, Mwenge, Lugalo, Mbezi....... kote kukavu. Ama imenyesha kwako tu?!
Halafu kuna jamaa ametokea njia ya Ubungo nayo kavu.
kama vipi jmos njoo tukutane ile sehemu ya siku ile hapa makumbusho. lakini mbona nasikia ulienda mkoa na huna mpango wa kuja dar labda rikizo?. miamzee wa mia nipo dar hii sijui wewe ulijificha pale leo tupo hapa hukujapo
Mbona mkali mkuu? Nimepataja home nini? Usihofu haupo peke yako uko pamoja na mkongoman Chimbuvu
jamani si ukarimu mwanaume una wivu balaaa
duh!!
Mmh
we nawe kama vile hujui raha za kukandwa!!!
Karibu sana umefikia wapi?
Pole na uchovu!!utakuta nimeshakutayarishia maji ya moto na maakuli
My dear amu huyu gambachovu anaweza kuwa ameacha mke Mtwara hayo maandalizi sitaki kukuona unahuzunishwa rafiki