Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
AksanteHuyu sio mzungu ni Mnigeria yupo zake Lagos. Pole sana
Nimejifunza
AksanteWala mimi sikulaumu bali ninatoa tahadhali kwa kila mtu humu, ukiona mtu anakuletea deal rahisi STUKA hasa kama humfahamu. Haiwezekani from no where mtu akuletee deal nzuri jiulize kwa nini hajawapa marafiki zake. Anyway sometimes unaweza win lakini kuwa makini
hapo ndo kuliwa kekundu kulipoanziaEt mzigo unakuja na ndege za UN. Hiv toka lini kampuni za kusafirisha mizigo zkatumia ndege za UN?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika nimejifunza kituYote hayo ni matokeo ya kupenda slope na tamaa. Saiv teknologia imekua na watu wamekua wajanja sana so usipokua makini inakula kwako.
hapo ndo sikuwa makini nilitakiwa nijiridhishe kwanza haswa kwa mtu ambaye simjuiSasa unalipiaje kodi kitu ambacho hauna documents zake plus haujakiona?!
Pili, unaanzaje kujiaminisha kuwa unaongea na watu sahihi na hata hukuwahi kuwaona....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa kutoa ushauri mzuri,,,,, na ndiyo maana nimekuwa mkweli kuongea hilo ili wengine wasiingie majaribuni kama yaliyonisibuHongera Mkuu kwa kutoa angalizo kwa wengine yasiwakute..., na hao wanaotoa kebehi watafanya wengine wakiibiwa waone aibu au kuongopa kutoa taarifa kwa wengine thus kuwapa uwezo hao matapeli kuendeleza unyangau wao...
Ahahahahaha sio kuliwa hela mkuu bali kuibiwa kimasiharaNaomba jina la uzi libadilishwe kuwa "Wale tuliowahi kuliwa hela kimasihara"
Yaan mbona nimemuonea wivu GAMBLER ,nilitamani niwe mie
HapanaMsaidie mapema kabla hajatapeliwa, mwambie indirect hata kwa kupiga nae story kuhusu utapeli wa aina hii. Utakua umetenda jambo jema
Hajanishirikishamshauri asitapeliwe km mimi
Hapo hakuna cha teknolojia ya hali ya juu wala nini. Ni tamaa tu ya kumiliki kiwanda kwa ubia na mzungu. Ila pole.Washauri ninao ila tekonologia waliyoitoa ilikuwa ya hali ya juu