Jamani nimetapeliwa

Jamani nimetapeliwa

Pole mkuu mtakubaliana na mm , kwa sasa mm niliekataa...kabisa !! Kuhusu kuamin ...mawasiliano na mtu nisiyemjua !! Halafu eti akufadhili kirahic tu hiyo haipo

sent from toyota Allex
Ni ukweli hakika
 
Baadhi ya watu huamini kila kitu ni kweli kwasababu moja tu,

KIMEANDIKWA /KIPO KWENYE MTANDAO
 
Kuna mzungu tapeli anayejita Gambler Erik number zake za simu +41779140475 tulikuwa marafiki kwenye mtandao wa LinkedIn kama marafiki wa kawaida akaonyesha kuja kuwekeza Tanzania.... Akasema kabla ya kuja Tanzania atanitumia machine zake za kutengeneza lotion na cream kwangu sikumbili kabla ya yeye mwenyewe kuja Tanzania. Na kwenye hiyo mizigo kaweka dola za kulipia pango la nyumba na maswala mengine

Akanijulisha wiki iliyopita atatuma mizigo kwenye ndege za UN na mara moja mzigo utanifikia kwangu kwa kupitia wakala.

Nilichoshangaa jumatatu ya wiki hii Kuna mwanamama kanipigia kwa number 0758392082 jina inasoma Emmanuel Tesha... At Mimi nilipe Kodi ya hizo bidhaa zilizokuja Tanzania kwa jina langu. Nikamwuuliza huyo Tapeli Gambler hivi Ni sahihi akaniambia wewe lipa nitakurudishia. Kumbe ndio nimeanza kuliwa kekundu hapo.

Hiyo ilikuwa Ni Kasulu Kigoma nikashangaa kwa Nini mzigo utuwe Kasulu na siyo DSM? Baada ya kulipa $ hiyo number haipatikani hewani. Nikajiuliza Toka jumatatu mpaka Alhamisi hakuna dalili yoyote ya kupokea mzigo ilikhali huyo mama Tapeli ananiaminia kwamba huo mzigo upo na utanifikia kwangu bila tatizo. Jana kaibuka Tapeli mwingine mwenye number 0758727527 jina la usajili Swaum Mena.

Akaniambia kiswahili kwamba mzigo umekwama Arusha ati nilipe $500 ili mzigo unifikie... Leo saa sita mchana.... Hapo ndio nikashtuka na kujuwa Kuna utapeli na hiyo pesa sijaituma. Na nikamtumia msg huyo mama kwamba Ni Tapeli anirudishie pesa zangu

Nimetuma ujumbe huu na hizo number za simu ili wengine yasiwapate kama Mimi yalivyonisibu
Nawatakia Ijumaa khereem

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna watu bado wanaibiw kwa hii style jamani?
 
Mwanangu Kangungo,

Alipata dili la kupiga mpunga mrefu ndani ya 24 hours akafanya siri..

Na yeye Akazuliwa gharama za kufaulisha mzigo kedekede kama mtoa mada hapa.

Hela yenyewe ya kufaulisha mzigo alikuwa hana..

Ila kwa sbb dili lilimtoa mate, anaona kabisa ukwasi huu hapa tena within 24 hours.. 😂😂😂

Akasema usinitanie weeh..!

Akawachek wadau kadhaa fasta wamkopeshe kwa ahadi ya kuwapa riba ya maana..

Hata kama ni wewe, mtu anakuambia nikopeshe 100,000/= kesho nakurejeshea 130,000/= huwezi acha..

Akakusanya M kadhaa..!! 😂

Kesho Ilipofika Kangungo macho yalimtoka jaman..

Ninavyozungumza sasa hivi, Kangungo boom lake likitoka analifwd kulipa deni..!

Alikuja kuniambia maji yalishamfika shingoni..

Nakubaliana na ushauri wa kutofanya siri.

Pole sana Mtoa mada.
Aksante
 
Kuna mzungu tapeli anayejita Gambler Erik number zake za simu +41779140475 tulikuwa marafiki kwenye mtandao wa LinkedIn kama marafiki wa kawaida akaonyesha kuja kuwekeza Tanzania.... Akasema kabla ya kuja Tanzania atanitumia machine zake za kutengeneza lotion na cream kwangu sikumbili kabla ya yeye mwenyewe kuja Tanzania. Na kwenye hiyo mizigo kaweka dola za kulipia pango la nyumba na maswala mengine

Akanijulisha wiki iliyopita atatuma mizigo kwenye ndege za UN na mara moja mzigo utanifikia kwangu kwa kupitia wakala.

Nilichoshangaa jumatatu ya wiki hii Kuna mwanamama kanipigia kwa number 0758392082 jina inasoma Emmanuel Tesha... At Mimi nilipe Kodi ya hizo bidhaa zilizokuja Tanzania kwa jina langu. Nikamwuuliza huyo Tapeli Gambler hivi Ni sahihi akaniambia wewe lipa nitakurudishia. Kumbe ndio nimeanza kuliwa kekundu hapo.

Hiyo ilikuwa Ni Kasulu Kigoma nikashangaa kwa Nini mzigo utuwe Kasulu na siyo DSM? Baada ya kulipa $ hiyo number haipatikani hewani. Nikajiuliza Toka jumatatu mpaka Alhamisi hakuna dalili yoyote ya kupokea mzigo ilikhali huyo mama Tapeli ananiaminia kwamba huo mzigo upo na utanifikia kwangu bila tatizo. Jana kaibuka Tapeli mwingine mwenye number 0758727527 jina la usajili Swaum Mena.

Akaniambia kiswahili kwamba mzigo umekwama Arusha ati nilipe $500 ili mzigo unifikie... Leo saa sita mchana.... Hapo ndio nikashtuka na kujuwa Kuna utapeli na hiyo pesa sijaituma. Na nikamtumia msg huyo mama kwamba Ni Tapeli anirudishie pesa zangu

Nimetuma ujumbe huu na hizo number za simu ili wengine yasiwapate kama Mimi yalivyonisibu
Nawatakia Ijumaa khereem

Sent using Jamii Forums mobile app
subiri atakurudishia pesa zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa yangu mtu kuipata ni kazi kweli, jamaa walinitumia picha zao na kuniambia walichoniambia mwisho wakanipigia mchana muda wa kula simu ya ofisini hawakunikuta wakaacha maangizo nitimize tulichoongea, kurudi nikawapigia akapokea mzungu tukaongea namvuta baadae nikamwambia Mimi ni mtanzania wa Dar Es Salaam na wewe ni mzungu wa Nigeria mkazi wa South Africa tutafutane tena, ikawa mwisho wa mawasiliano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana na ninakupongeza kwa kuwa na upendo kiasi ukatamani na mtu mwingine isije kumtokea yaliyokutokea..
Hao wanaosema umetapeliwa kijinga ni watu wasio na upeo mzuri wa kufikiria,maana bado watatapeliwa wengine wengi ila kwa kuwa umetoa hizi taarifa Kuna watakaojifunza kupitia wewe na utakuwa umepunguza idadi ya watakao tapeliwa..
Kuna mzungu tapeli anayejita Gambler Erik number zake za simu +41779140475 tulikuwa marafiki kwenye mtandao wa LinkedIn kama marafiki wa kawaida akaonyesha kuja kuwekeza Tanzania.... Akasema kabla ya kuja Tanzania atanitumia machine zake za kutengeneza lotion na cream kwangu sikumbili kabla ya yeye mwenyewe kuja Tanzania. Na kwenye hiyo mizigo kaweka dola za kulipia pango la nyumba na maswala mengine

Akanijulisha wiki iliyopita atatuma mizigo kwenye ndege za UN na mara moja mzigo utanifikia kwangu kwa kupitia wakala.

Nilichoshangaa jumatatu ya wiki hii Kuna mwanamama kanipigia kwa number 0758392082 jina inasoma Emmanuel Tesha... At Mimi nilipe Kodi ya hizo bidhaa zilizokuja Tanzania kwa jina langu. Nikamwuuliza huyo Tapeli Gambler hivi Ni sahihi akaniambia wewe lipa nitakurudishia. Kumbe ndio nimeanza kuliwa kekundu hapo.

Hiyo ilikuwa Ni Kasulu Kigoma nikashangaa kwa Nini mzigo utuwe Kasulu na siyo DSM? Baada ya kulipa $ hiyo number haipatikani hewani. Nikajiuliza Toka jumatatu mpaka Alhamisi hakuna dalili yoyote ya kupokea mzigo ilikhali huyo mama Tapeli ananiaminia kwamba huo mzigo upo na utanifikia kwangu bila tatizo. Jana kaibuka Tapeli mwingine mwenye number 0758727527 jina la usajili Swaum Mena.

Akaniambia kiswahili kwamba mzigo umekwama Arusha ati nilipe $500 ili mzigo unifikie... Leo saa sita mchana.... Hapo ndio nikashtuka na kujuwa Kuna utapeli na hiyo pesa sijaituma. Na nikamtumia msg huyo mama kwamba Ni Tapeli anirudishie pesa zangu

Nimetuma ujumbe huu na hizo number za simu ili wengine yasiwapate kama Mimi yalivyonisibu
Nawatakia Ijumaa khereem

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom