Hii ID ameitumia kwa 'dharula' tuMkuu mleta uzi unaonekana weee ni mzito sana hupendi kutumia JF, yaani umeingia tangia 2011 lakini eti bado ni NEW MEMBER!
Nimewaza hivi pia, alijikausha apate machine kimya kimya afungue kiwanda,baada ya mambo kubuma ndyo anatushirikisha, huenda angeshare hilo dili angepewa ushauri na alert asingepigwa.pole yake.Mzungu!!! wakati ni huyo huyo jamaa anaongea kingreza kibovu.!
Kwa iyo ulivyopata dili hilo la hela ukakaa kimya hukumwambia mtu ili utajirike peke yako sio!
Naunga mkono hoja ila hapo mwisho iwe "Kiboya" sio kimasiharaNaomba jina la uzi libadilishwe kuwa "Wale tuliowahi kuliwa hela kimasihara"
Huyu hajawahi, kachelewa sana, yaani 2020 unapigwa pesa kiboya hivyo?Naomba jina la uzi libadilishwe kuwa "Wale tuliowahi kuliwa hela kimasihara"
Washauri ninao ila tekonologia waliyoitoa ilikuwa ya hali ya juuDunia ya sasa unatapeliwa kijinga hivyo?
Ure still have time to learn in this world unaonekana umgeni hata washauri huna..
Hakika Tapeli la kimataifa
Aksante nimejifunza kituPole sana mkuu
AksantePole sana ndugu. Ila liwe somo kwako kwa kipindi kijacho
Nashukuru sana kwa somo hili hakika nimejifunza kituIshu zozote zinazohusu UN epukana nazo
Ishu zozote zinazohusu biashara na mtu ambaye hamfahamiani epukana nazo
Ishu zozote za kutumiwa mzigo bila nyaraka kisha unaombwa kwenda kuutoa epukana nazo
Ishu zozote zinazohusu biashara za mtandaoni na mtu usiyemfahamu vema epukana nazo
Wengi wamelizwa na wengi bado wanalizwa na wengine wataendelea kulizwa
Duniani hakuna uaminifu kama huo
Jr![]()
Acha utani basiWashauri ninao ila tekonologia waliyoitoa ilikuwa ya hali ya juu