Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
Haya bwana...alivyosema kubanja ndiyo nikakumbuka.
Haya bwana...alivyosema kubanja ndiyo nikakumbuka.
Pole..but fanya mazoezi sana. Ukiwa mtu wa mazoezi malaria inakupitia mbali kabisajamani nipeni pole ,mwenzenu naumwa naskia malaria, alafu nabanja kishenzi,nipeni pole mamen na wanawake pia,akina dada pole zenu zinatia moyo zaidi.
Psychology Ukitaka kumjaji Mtu angalia hiyo avatar yake ndio unaweza Kumjaji huyu Mwita25 Avatar yake na akili zake zipo hivyo hivyo usijali tunao wengi tu hapa jukwaani kwenye hii jamii Forums.Hivi ndugu yangu what do you have in mind, kumpa mtu pole huku unamtajia marhem?
Psychology Ukitaka kumjaji Mtu angalia hiyo avatar yake ndio unaweza Kumjaji huyu Mwita25 Avatar yake na akili zake zipo hivyo hivyo usijali tunao wengi tu hapa jukwaani kwenye hii jamii Forums.
Jamani pole mpenzi. Umeshameza dawa?Umeweza hata kula au nikuchemshie kasupu nikuletee?
Huko kubanja changanya limao, asali na magadi kidogo kwenye kijiko unywe.
thethethet!! Pdidiy msaniii!1hii ni kwa kuwa hautembelei jukwa la jf dr.kule utapata tiba za dr riwa, mwanakijiji na wengineo kibao,mimi kwa kufuatia kule nimepata tiba ya mtoto ambae alikuwa alazwe kkwa ajili upasuaji kcmctarehe 4 mwezi huu.kama ukishindwa nipm nikupe kile kidogo nilichopata kule, achana na wasanii akina pdidy.pole sana mwaya.
thethethet!! Pdidiy msaniii!1