Jamani Mchungaji Peter Msigwa yuko wapi?

Jamani Mchungaji Peter Msigwa yuko wapi?

Kweli naye simsikii
CCM inakutumia mara unapotoka kwenye chama chako ili ukiseme vibaya. Ukishakaa unakuwa huna jipya. BTW Msigwa alikuwa amefanya ajenda yake kubwa ni Mbowe lakini kwa bahati mbaya kwake Mbowe sasa hivi ni kipenzi chao. Ni sawa na mama mmoja anaitwa Juliana Shonza, alitoka CHADEMA akawa anafanya ajenda yake ni CHADEMA, sasa hivi hana jipya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom