Mchungaji Msigwa upo wapi? Wenzako wanaopoa vyeo huku.

Mchungaji Msigwa upo wapi? Wenzako wanaopoa vyeo huku.

Huyu aliyekuwa kada maarufu wa Chadema, baada ya kushindwa uchaguzi na kutokomea ccm, mchungaji msigwa yupo wapi?

Mshitueni wenzake wameanza kuopoa vyeo huku, je! Yeye alitoka kindezi? 😀😀
ashavuta mpunga wa kutosha, atawekeza na hataonekana mpinzani milele. ameshonwa mdomo.
 
Hapo ni sawa na msindikizaji kupanda bus kabla ya wasafiri 😂 msindikizaji amepanda bus tofauti na la wasafiri 🙌
 
we dada unaesoma komenti yangu umekaa vibaya mpaka utamu kunoga unaonekana uleee!!
 
Huyu aliyekuwa kada maarufu wa Chadema, baada ya kushindwa uchaguzi na kutokomea ccm, mchungaji msigwa yupo wapi?

Mshitueni wenzake wameanza kuopoa vyeo huku, je! Yeye alitoka kindezi? 😀😀
Acha unaa basi!! Niko chimbo najipanga kugombea ubunge jimboni mwangu!!
 
Back
Top Bottom