Jamani Mchungaji Peter Msigwa yuko wapi?

Jamani Mchungaji Peter Msigwa yuko wapi?

Bora akae kimya tu huko aliko kwenye chama chake kipya kuliko wenje anayepayuka hovyo kuikandia chadema kana kwamba hakuwa kiongozi mkuu mwandamizi. Anakosa heshima hata huko anakopayukia. Sijui alisoma wapi huyu mjuba mropokaji kiasi hiki. Peter Msigwa asiikandie chadema huko aliko ili atunze heshima yake
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Yuko ulaya anapangusa matako ya wazee. Ni mzoefu kwenye hiyo fani.
 
Nilitegemea awe kwenye kampeni kuikàndia Chadema, simsikii!
Yuko wapi?
Amechukizwa kumuona askari kanzu wa Mbowe (Wenje) aliyekuwa akitumwa kumsulubu (Msigwa) amehamia ccm.

Peter Msigwa anahofia kuwa huenda Wenje kamfuata huko ccm ili kuendelea kumsulubu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom