Jamani Lowassa ana "nyota"

Jamani Lowassa ana "nyota"

nakuuliza ccm miaka 50
lowasa serikalini miaka 35

ulizia amefanya nini ambacho unakiona kila kona ya nchi hii,
mkuu Mimi nina akili zangu bwana.

sitegemei Kuwa ccm kwa miaka 50 imekuwa ikitegemea skills and efforts of individuals badala ya team(team work) or system.du kazi kweli kweli
 
labda kama wewe ndo unatangaza mshindi saw lakini kama serikali ndo inatangza jiandae kupunzika kwenu,ili magufuli ampeleke lowasa na sumaye mahakamani,

Mamamae nani alikwambia serikali ndo inatangaza mshindi? Kwa taarifa yako tume imesema matokeo yote mpaka yale ya u-Rais yabandikwe vituoni, sasa sijui mtaponea wapi? Mlizoea kuchakachua ila mwaka huu "MKUDOLOJA"
 
vijiji vya wapi mkuu labda ya moshi na arusha ,nenda nyanda za juu kusini ,njoo kanda ya ziwa vijijini uone,unachekesha wewe,

Thubutuuu Nenda Simiyu Mama Ccm Watoto Chadema Na Vijana Wengi Wanapinga Ccn na wamejiandikisha. Sio Kama 2010 ambapo wengi haikuwaingia akilini. Nenda Ujionee Sio Kukataa Tu, Na Ukome
 
nenda sengerema kijiji kinaitwa irunda kingine ngoma usikie habari yao, mafuriko ya lowassa hayazuiliki baba,ana nyota ya ajabu.

nyota ipi huyo majini ya gwajima yanamsaidi mimi nachokwambia pamoja na yote hayo hata iweje magufuli ndo rais ,kama unabisha note id yangu tarehe 29 ,oct nitafute,
 
Kuongea ndiyo nn kwako wewe ? Kama kuchonga ni dili basi Kibajaji angekuwa Katibu Mkuu wa UN !!

nyota ya wapi misukule ya gwajima ndo inamsaidia ,kipi alichonacho maana hata kuongea anazidiwa na mtoto wa form one.

 
nyota ipi huyo majini ya gwajima yanamsaidi mimi nachokwambia pamoja na yote hayo hata iweje magufuli ndo rais ,kama unabisha note id yangu tarehe 29 ,oct nitafute,

Fake id kitu gani waweza change any time, kwa jinsi nilivyo na uhakika ninaku pm jina langu halisi na details zote ukitaka hata picha yangu natuma#Lowassaa.
 
hana nyota yoyote gwajima ndo anamsaidia lakini tutaomba usiku na mchana rais anaetengemea miujiza ya gwajima hautfai,

Mwanzoni mlisema picha za kuunganisha, sasahivi mnasema miujiza ya gwajima, mnaanza kukubali kiainaee.

My take.
Hadi October mtakuwa mmesha sombwa na mafuriko tulieni hivyo hivyo sindano na dawa vinazidi kuingia vizuri.
 
vijiji vya wapi mkuu labda ya moshi na arusha ,nenda nyanda za juu kusini ,njoo kanda ya ziwa vijijini uone,unachekesha wewe,

Acha kudanganya kanda ya ziwa ni lowasa tu hakunaaliewahi kutaja jina la magufuli!bibi yangu mimi anamuitaji lowasa huku musoma.
 
mkuu izo takwimu unazitoa kwenye kybod yako nini ,mbona lowasa amekuja kwetu ludewa ni aibu ,uliza mtu aliyeko mbea akwambie adi juzi sugu ameanda kungoa mabango ya magufuli soko la mwanjelwa,hadi sasa
magufuli ankubalika kwa asilimia 85% nchi mzima,

na wew hii takwimu umeitoa wapi labdaa??? hii ni ndoto unaotaa mchanaa jua la utosi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom