Jamani Lowassa ana "nyota"

Jamani Lowassa ana "nyota"

kumbe walimpigia kura....

Inategemea kupigiwa kura unakuelezea je? Kupigiwa au kupiga kura kuko kwa aina nyingi. Ila kama uelewa wako wa kupigiwa kura ni kama wa lowasa ni ngumu kumeza kilichotokea dodoma. Baki na hili£, nani aliondoka ccm wao au yeye?
 
Nakuonea huruma usithubutu kusema hivyo jiulize kati ya wateuliwa 32 ni wangapi wanatokwa povu!? Slaa?? Soma halama za nyakati jamaa ukimtukana na kuzushia ndio anakua mkali maradufu popularity aliyonayo si ya kitoto tatizo adithi Zenu ni zile zile azina utofauti na kinacho haribu zaidi mmesahau sasa tuko Katika zama za uwazi na ukweli karne ya 21 ulimwengu wa digitally taarifa ikitoka inamfikia mtu wa busekera au bukima au bwasi mkoani Mara wilaya ya musoma vijijini kama ilivyo wa mjini dar kwa kutanuka kwa matumizi ya vyombo vya technology na kuruhusu international market interaction... Impact yake imemfanya Lowassa kuwa promoted bila nyie kuelewa na team ya Lowassa kuwa na efforts ndogo kulinganisha na nyie mnaotapa poleni sana ila jamaa safari sijui mana huyu jamaa kajipanga haswa sijui mtampoteza kwa stahili IPI NB: alianza kupendwa na kukubalika akiwa ndani ya chama cha mapinduzi so kumzuia ni kazi bure...he's inevitable
 
Lowassa hata kumwangalia tu anavutia sio huyo sitawaangusha anchelemaa.
 
Tabora aaaaaaaaa!!! 1441510536427.jpg
 

Attachments

  • 1441510588991.jpg
    1441510588991.jpg
    36 KB · Views: 190
  • 1441510667652.jpg
    1441510667652.jpg
    81.1 KB · Views: 189
  • 1441510703199.jpg
    1441510703199.jpg
    64.1 KB · Views: 184
Anayesema lowassa Ana nyota , hebu anishawishi kwanza maana sijawahi kuona tapishi likawa na virutubisho hata siku moja.

Huo mzoga unaotoa harufu nyie mnamtetea hamjui maslahi ya gwajima kwa lowassa Mbona mnafanywa misukule?
 
Sema ivi, Mh. Lowasa ana Mungu, na mkono wa Mungu upo juu yake.

Nimeangalia "nyomi" ya watu waliohudhuria mkutano wa Lowassa huko Tabora kupitia ITV muda huu,sikuamini nilichokiona hasa ukizingatia mkoa wenyewe ni Tabora(ngome ya CCM).

Lowassa kama Mussa katika Biblia.

Mwenye picha atusaidie kuziweka hapa jukwaani.
 
Nimeangalia "nyomi" ya watu waliohudhuria mkutano wa Lowassa huko Tabora kupitia ITV muda huu,sikuamini nilichokiona hasa ukizingatia mkoa wenyewe ni Tabora(ngome ya CCM).

Lowassa kama Mussa katika Biblia.

Mwenye picha atusaidie kuziweka hapa jukwaani.

Lowasa yupo vizuri. sijui CCM watakimbilia wapi? Lowasa tayari ana kura yangu na ya familia yangu. Tumeekeana kiapo cha uti kwa Lowasa.

This is Lowassa time mkuu, nenda vijijini ukipata na nafasi ukaongea na vijana wa kawaida tu utapata majibu.

I like EL with all my heart. Yaani ananyota ya hatariiiiiiiiiiii maaamaee

"lowassa the great"

Hahahahaha watu wanampenda lowassa, bodaboda lowassa, vijana lowassa, eeeh eeeh lowassa, tunampenda lowassal

Sio mwaka wa Lowasa tu bali ni mwaka wa Mungu kuikomboa nchi yake nzuri kutoka kwa wezi

namsubiri uku bukoba(v) tarehe 18-09 nitatoroka kituoni pangu kupiga picha mwanzo mwisho!

Tuko Pamoja

Lowassa hazuiliki

Hawez kuwa sawa na musa wa biblia.ila bahati mbaya tuu n kwamba ana NYOTA

We will vote for Lowassa, kila anapokwenda yeye ni nyomi tu

Da!!!! Hii ni htr sn. Sasa hawa wanaotuina cc marofa watapigaje hilo goli la mkoni?

Vijijini wanampenda sana Lowassa, kuliko mijini. Kwa kweli Watanzania tumshukuru Mungu kwa kutuletea mpambanaji halisi dhidi ya umaskini. The light at the end of the tunnel

Mzee yuko vzur sana

Malofa tumeamua

Lowassa ni shidaaaaaa!Padri mzinifu kakimbia

Mkuu wapiga kura wa lowasa wako katika makundi kadhaa,
1.Wanachama wa vyama vinavyounda ukawa.
2.Wananchi wasio na vyama lakini wanaunga mkono ukawa(hawa ndio wengi)
3.Wananchi wasioipenda ccm tu kwa kushindwa kutimiza matakwa yao.
4.Wana CCM ambao wanamapenzi na Lowasa,hawa bado wako ccm lakini box la kura ni Lowasa mfano Mama mwenyenyumba yangu,siku ya Magufuri jangwani alikuwa mstari wa mbele lakini kila siku anasema atampigia Lowasa.
5.Watu ambao walikuwa hawapigi kura kwa madai ata wakipiga ccm itashinda maana wapinzani watagawana kura,mwaka huu wameiona fursa chini ya ukawa.

Mwaka pekee wa mabadiliko ya ukweli kupitia UKAWA.

Ni mwaka was mabadiliko,ccm wataisoma number

Mashetani katika ubora wenu

Ukweli watanzania wa sasa wanataka mabadiliko na wamechoshwa na mfumo wa ccm kwa sasa Wameamua hilo ndilo lililoko vichwani mwao

Huu ni mwaka wa ukombozi kwa taifa letu toka kwa mkoloni wa kijani na manjano

Malofa katika ubora wetu..watakoma oct 25

Pole sana kwa muweweseko, Lowasa ndiye rais Wa Tz

Sala.

Tunakwenda kufungua kufuli zote na kumwaga pombe zote zilizowekwa na ccm, Mungu ibariki Tanzania. , mungu ibariki ukawa, mungu mbariki mgombea urais lowassa,

Ukawa oyeeeee.
 
lowas anamambo mawili ambayo hayakubaliki hata mbele za mungu.
1,fisadi tena la karne maana tangu enzi
2,mafya ,ugonjwa wa mwakyembe
3,gwajima maigizo,

,taifa hili ni la mungu lowasa kamwe hawezi kuongoza nchi hii,
Mbona unaruka ruk jibu swali!!
kwani lowasa ni fisadi?? Kama ndio mbona hajaukumiwa??
kama unaushahidi kwanini usiende mahakamani ukamshitaki? kama hutaki kwenda kumshitaki huoni kwamba wewe ndiye FISADI?
 
Nimeangalia "nyomi" ya watu waliohudhuria mkutano wa Lowassa huko Tabora kupitia ITV muda huu,sikuamini nilichokiona hasa ukizingatia mkoa wenyewe ni Tabora(ngome ya CCM).

Lowassa kama Mussa katika Biblia.

Mwenye picha atusaidie kuziweka hapa jukwaani.

mkuu picha zipo nashindwa kuweka,
 
Kama kuna anayeweza kuapload picha nmurushie kwa wasap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom