Jamani Lowassa ana "nyota"

Jamani Lowassa ana "nyota"

vijiji vya wapi mkuu labda ya moshi na arusha ,nenda nyanda za juu kusini ,njoo kanda ya ziwa vijijini uone,unachekesha wewe,

nyanda za juu kusini unamanisha mikoa kama mbeya sio, njoo uone watu wanavyompenda lowassa mimi hapa nipo isongole ileje mpakani mwa tz na malawi huku kila mtu lowassaaaaaa
 
Hakuna wa kubadilisha maamuzi yetu. Tunamtaka lowassa
 
Naamini %100 raisi ni Lowassa

Hilo limedhibitika hata pale Uwanja wa Taifa leo wakati wa mechi ya mpira. Wanaijeria watampelekea salamu Buhari kuwa jiandae kwenda kusalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. edward Lowassa.
 
..nabii Mussa,huyu ndo Lowassa,ukipendwa rahaaa nyie.....kama mnaweza kulizuia jua jaribuni.
 
Aweza kuwa na nyota ya watu lakini si ya kura dodoma wote tuliona pamoja na jeuri na kibri chake cha pesa, eti asiye nitaka ccm aondoke yeye. Hakupata kura na akaishia kuikimbia ccm yeye, sasa mshaurini asije akakimbia na tanzania.
 
tusimpambe ktk mikusanyiko wangapi wamejiandikisha vitambulisho vya wapiga kura tusije tukawa waongeaji kuliko vitendo
 
Aweza kuwa na nyota ya watu lakini si ya kura dodoma wote tuliona pamoja na jeuri na kibri chake cha pesa, eti asiye nitaka ccm aondoke yeye. Hakupata kura na akaishia kuikimbia ccm yeye, sasa mshaurini asije akakimbia na tanzania.

kumbe walimpigia kura....
 
Ivi makamanda ule mpango wa kuhakiki vichinjio uli ishia wapi
 
nyota ipi huyo majini ya gwajima yanamsaidi mimi nachokwambia pamoja na yote hayo hata iweje magufuli ndo rais ,kama unabisha note id yangu tarehe 29 ,oct nitafute,

Nakuonea huruma usithubutu kusema hivyo jiulize kati ya wateuliwa 32 ni wangapi wanatokwa povu!? Slaa?? Soma halama za nyakati jamaa ukimtukana na kuzushia ndio anakua mkali maradufu popularity aliyonayo si ya kitoto tatizo adithi Zenu ni zile zile azina utofauti na kinacho haribu zaidi mmesahau sasa tuko Katika zama za uwazi na ukweli karne ya 21 ulimwengu wa digitally taarifa ikitoka inamfikia mtu wa busekera au bukima au bwasi mkoani Mara wilaya ya musoma vijijini kama ilivyo wa mjini dar kwa kutanuka kwa matumizi ya vyombo vya technology na kuruhusu international market interaction... Impact yake imemfanya Lowassa kuwa promoted bila nyie kuelewa na team ya Lowassa kuwa na efforts ndogo kulinganisha na nyie mnaotapa poleni sana ila jamaa safari sijui mana huyu jamaa kajipanga haswa sijui mtampoteza kwa stahili IPI NB: alianza kupendwa na kukubalika akiwa ndani ya chama cha mapinduzi so kumzuia ni kazi bure...he's inevitable
 
lowas anamambo mawili ambayo hayakubaliki hata mbele za mungu.
1,fisadi tena la karne maana tangu enzi
2,mafya ,ugonjwa wa mwakyembe
3,gwajima maigizo,

,taifa hili ni la mungu lowasa kamwe hawezi kuongoza nchi hii,
Tunakusaidia, kasome Biblia Luka 19 panaelezwa habari ya Zakayo na Yesu Kristo..hata Lowassa anaweza onekana kama Zakayo kwa macho ya kibinadamu, lakini sasa ni mtu mpya ataturudishia watanzania utumishi bora kutatua yale ambayo ccm wameshindwa kwa miaka zaidi ya 50!! tafakari inawezekanaje taifa lenye neema na fursa nyingi kwa kila kitu lakini hadi leo tunaishi kwa mgao wa umeme????? hivi nyinyi mnaosifia ccm mnafikiri kweli..! Rais Kikwete kati aliyoahidi wakati aliingia madarakani ni kumaliza tatizo la umeme..kiko wapi????kwa mfano huu tu unawezaje kuamini maneno ya mgombea wa ccm???? H A I W E Z E K A N I..inabidi tubadilishe CHAMA. hilo ndio jibu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom