Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,149
- 162,559
- Thread starter
- #21
Maneno yenu hayabadili ukweli huu.nyota ya wapi misukule ya gwajima ndo inamsaidia ,kipi alichonacho maana hata kuongea anazidiwa na mtoto wa form one.
Maneno yenu hayabadili ukweli huu.nyota ya wapi misukule ya gwajima ndo inamsaidia ,kipi alichonacho maana hata kuongea anazidiwa na mtoto wa form one.
Nabii Mussa hakuwa fisadi
unajua sisi wapumbavu na malofa ni wengi kuzidi hao was...enge km mkapa
Muulize Magufuri ufisadi alioufanya kwa kuuza nyumba za serikali kwa bei cheeeeNabii Mussa hakuwa fisadi
vijijini wanampenda sana lowassa, kuliko mijini. Kwa kweli watanzania tumshukuru mungu kwa kutuletea mpambanaji halisi dhidi ya umaskini. The light at the end of the tunnel
nyota ya wapi misukule ya gwajima ndo inamsaidia ,kipi alichonacho maana hata kuongea anazidiwa na mtoto wa form one.
nawashauri gwajima ongezeni ya ya kakobe maigizo lakini ikulu takatifu shetani kamwe haingii,
muulize magufuri ufisadi alioufanya kwa kuuza nyumba za serikali kwa bei cheeee
waulize rafiki zako pesa za escrow zilikwenda wapi? Lowassa alikuwemo?
Mtamfitini sana baba wa watu ila mwisho ndo rais wenu maana watanzania tushafanya maamuzi nayo ni kuiondoa ccm madarakani.
Now is the time for change
viva lowassa
viva ukawa
tukutane october 25
nawashauri gwajima ongezeni ya ya kakobe maigizo lakini ikulu takatifu shetani kamwe haingii,
Nabii Mussa hakuwa fisadi
vijiji vya wapi mkuu labda ya moshi na arusha ,nenda nyanda za juu kusini ,njoo kanda ya ziwa vijijini uone,unachekesha wewe,
Hata hao hamsini kama atawapata watakuja kumshaanga tu na si kumsikiliza.Mkuu hebu nenda pale jangwani kuhutubia, na kama utapata watu 50 nakupa zawadi.