Mambo yote yanatoka kwa Mungu. Wakati wa historia yake mengi yameelezwa kuhusu yeye kuwa kiongozi akianzia kiongozi wa bendi ya shule, Prefect au kiranja na mengineyo. Hata CCM wafanyeje Lowassa ndiye Rais wa awamu ya tano. Wananchi wanaichukia sana CCM kuhusu maisha bora kwa kila mtanzania.