sema yote dada we sema tena tunaomba gwajima azidishe miuza ili na bibi zetu mimi na wewe wampe kura lowasa maana wewe na mmeo najua mtampa lowasa ila hapa upo unachokoza maada tu.
rais anayetegemea majini kuongoza nchi kamwe siwezi kumpa kura mpeni nyie misukule yake,llakini haitasaidia,