kwa kuwa serikali ya ccm inaogopa kumfikisha mahakama kwa ufisadi wake,kwa kuwa serikali ya ccm inashindwa kumtibia kupitia haki yake ya uwaziri mkuu,sisi watanzania tunamtibia na kumhukumu kwa kumpa kura za ndiyo
labda kama wewe ndo unatangaza mshindi saw lakini kama serikali ndo inatangza jiandae kupunzika kwenu,ili magufuli ampeleke lowasa na sumaye mahakamani,